The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,108
- 115,842
Wakati wa World cup ya Japan
kulikuwa na mchezaji wa Belgium ana asili ya DRC
alikuwa anaitwa Mbo Mpenza
na timu yao ya Belgium ili Practise uwanja wa Kumamoto....
gazeti bongo lilitoa picha na headline 'mbo ndani ya Kumamoto' lol