Nakumbuka kama sikosei lilikuwa gazeti la Dimba, hawa jamaa walikuwa wawili mwingine alikuwa anaitwa Emil MpenzaWakati wa World cup ya Japan
kulikuwa na mchezaji wa Belgium ana asili ya DRC
alikuwa anaitwa Mbo Mpenza
na timu yao ya Belgium ili Practise uwanja wa Kumamoto....
gazeti bongo lilitoa picha na headline 'mbo ndani ya Kumamoto' lol