Ni raha sana jinsi wamarekani wanavyowatafuta viongozi wa kuliongoza taifa lao

MAHANJU

JF-Expert Member
Aug 26, 2014
5,252
8,003
Wenzetu demokrasia ndio kila kitu kwao, wanaangalia mwenye misimamo ya kuwasaidia wao, hakuna mizengwe, ni yeyote anaweza kuliongoza taifa hilo ilimradi ni mzaliwa wa marekani.

Wenzetu kila chama kina haki ya Kutoa Rais wa kuliongoza taifa hilo, angalia Trump anavyopaa tena kwa kusikilizwa na sauti za wengi tena wamarekani wenyewe.

Sisi wa ngozi nyeusi tumebaki na fitina za ukabila, udini na rangi na kuwaonea wivu wenzetu hao na hata kuwaita wababe wa dunia! Mimi nasema acha waitwe wababe wa dunia tu, wanastahili.

Wamarekani wangekua wabaguzi kama Waafrika basi Obama asingeweza kuliongoza taifa hilo.Huku kwetu kuna watu wanawaita wenzao Masultani, hadi aibu.
 
Marekani watu poa sana

wameniomba sana nigombanie ila naogopa ntashinda na sipendi kulindwa vile...
 
(Bob Marley)
If dem want to win the revoloution
Must win it, wit rasta!
Can't win no other way
Because if you win other way, you go fight again
If rasta win, den no more war
 
Marekani hawatafuti viongozi Wa kuwaongoza wao

Wanatafuta viongozi Wa kuongoza dunia na kukandamiza nchi masikini....



Endelea kufurahi uchaguzi Wa mtawala wako!
 
Tanzania au Afrika wanadhani siasa ni Majungu, fitna, umbeya, visasi na kukashifiana ndiyo Siasa!

Yaan bora Trump ashinde tu ili awanyooshe hawa viongozi wa kiafrika.

Eti nashangaa mtu anasema marekani ni nani nchini mwangu...! wakati mtu huyo huyo Silaha ananunua kwa huyo mmarekani au rafiki zake mmarekani, hivyo akitaka kukupiga anamwambia tu rafiki yake ampe orodha ya silaha alizokuuzia aone yeye atumie silaha gani kukuangamiza within a minute
 
(Bob Marley)
If dem want to win the revoloution
Must win it, wit rasta!
Can't win no other way
Because if you win other way, you go fight again
If rasta win, den no more war

Words of truth from honorable Bob Marley. Huyu jamaa alikuwa tofauti na aliweza kuona ukweli katika kiwango cha juu kabisa. Misimamo yake kuhusu imani yake ya rastafari ni yakuvutia wengi kwakweli. Tena hapa kuna kundi kubwa la wanasiasa wanatamani kupata busara huyu legend alipata kuwa nazo.

Bob aliamini katika uongozi imara unaotoa haki kwa kila mmoja wetu.

Bob anasema "my brother you must know not believe. No time to be deceived."

Anasisitiza sana kutambua right zako iwe politically, socially, au economically halafu una stand up for your rights.

Viongozi waafrika waige toka kwa honorable Bob Marley waache unafiki leadership ni kujitoa sio kujitweza.
 
Kwann unafikiri ni rajisi kwa wamarekani kupata viongozi wai?
Wenzetu huongozwa na demokrasia zaidi, hawabadili katiba kama sisi! Wataamini kiongozi anayepewa nafasi na Wananchi wake ndiye kiongozi wao na sio kiongozi kuteuliwa na watawala.
 
Marekani hawatafuti viongozi Wa kuwaongoza wao

Wanatafuta viongozi Wa kuongoza dunia na kukandamiza nchi masikini....
Wewe ni mojawapo wa wale wanaoitwa wanaukoo wa familia flani mnaosuburi kurithishwa uongozi. Hakika kwa asiyependa demokrasia akiisikia Marekani hujisikia vibaya sana.


Endelea kufurahi uchaguzi Wa mtawala wako!
 
Wenzetu demokrasia ndio kila kitu kwao, wanaangalia mwenye misimamo ya kuwasaidia wao, hakuna mizengwe, ni yeyote anaweza kuliongoza taifa hilo ilimradi ni mzaliwa wa marekani.
Wenzetu kila chama kina haki ya Kutoa Rais wa kuliongoza taifa hilo, angalia Trump anavyopaa tena kwa kusikilizwa na sauti za wengi tena wamarekani wenyewe.


Sisi wa ngozi nyeusi tumebaki na fitina za ukabila, udini na rangi na kuwaonea wivu wenzetu hao na hata kuwaita wababe wa dunia! Mimi nasema acha waitwe wababe wa dunia tu, wanastahili.


Wamarekani wangekua wabaguzi kama Waafrika basi Obama asingeweza kuliongoza taifa hilo.Huku kwetu kuna watu wanawaita wenzao Masultani, hadi aibu.
Donald Trump akishinda tuu...unatawaliwa
 
Wenzetu demokrasia ndio kila kitu kwao, wanaangalia mwenye misimamo ya kuwasaidia wao, hakuna mizengwe, ni yeyote anaweza kuliongoza taifa hilo ilimradi ni mzaliwa wa marekani.
Wenzetu kila chama kina haki ya Kutoa Rais wa kuliongoza taifa hilo, angalia Trump anavyopaa tena kwa kusikilizwa na sauti za wengi tena wamarekani wenyewe.


Sisi wa ngozi nyeusi tumebaki na fitina za ukabila, udini na rangi na kuwaonea wivu wenzetu hao na hata kuwaita wababe wa dunia! Mimi nasema acha waitwe wababe wa dunia tu, wanastahili.


Wamarekani wangekua wabaguzi kama Waafrika basi Obama asingeweza kuliongoza taifa hilo.Huku kwetu kuna watu wanawaita wenzao Masultani, hadi aibu.
America is a very mature nation. The nation is matured politically , economically , and culturally. Whatever they do, they do it from an experience. They have set a system, and it is the system that decides the destiny of their nation
 
Donald Trump akishinda tuu...unatawaliwa
Ni bora tutawaliwe tu! Si hatujielewi? Jitu limetawala miaka zaidi ya 30 na bado linataka kuendelelea kutawala tu.uilishawahi kusikia Marekani kiongozi wa upinzani amewekwa ndani? Kajiulize ni kwanini wamarekani wengi wanataka Trump?
 
Bado hujielewi wewe! Mkuu soma alama za nyakati.....

Ukiona mtu anatamani kuitawala nchi nyingine tena zilizoko huru ni alama ya utawala kandamizi kwa mataifa ya dunia ya 3

Tegemea sera mbaya kwa mataifa ya Africa!

Haya mabepari ya ulaya hayanisaidii lolote !
 
Ni bora tutawaliwe tu! Si hatujielewi? Jitu limetawala miaka zaidi ya 30 na bado linataka kuendelelea kutawala tu.uilishawahi kusikia Marekani kiongozi wa upinzani amewekwa ndani? Kajiulize ni kwanini wamarekani wengi wanataka Trump?
Swali za kizushi:::

Trump anataka urais Wa Africa ama marekani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom