Jamani mapenzi ya hivyo yapo sana tu endapo wawili wataamua, mbona tunakatishana tamaa jaman?kama hujawahi kuexperience bora useme hujawahi kubahatika na co kucriticize tu! Halafu nimegundua most of coments zinazompinga mtoa thread ni za men coz mnajijua hamuwezi ku2lia kwenye mapenzi..