Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,652
- 13,077
Habari dhenu waungwana,ni hivi ikiwa wewe unamtembelea yeyote yule awe rafiki/ndugu nyumbani kwake lkn unategemea kulala ktk nyumba hiyo je?ni kitu gani cha KWANZA unatakiwa ukijue.
1.jiko
2.chumba cha kulala
3.choo
4.muda wa msosi
5.jinsi ya kufunga/kufungua mlango
6.muda wa kuamka/kulala/kurudi nyumbani
7.unatakiwa ulale na silaha kama kisu/panga
Au ni nini hasa unatakiwa ukitambue kwanza sababu wao kama binadamu wanaweza kufa usiku ambao wewe umefika ktk nyumba hiyo.
Nawasilisha
1.jiko
2.chumba cha kulala
3.choo
4.muda wa msosi
5.jinsi ya kufunga/kufungua mlango
6.muda wa kuamka/kulala/kurudi nyumbani
7.unatakiwa ulale na silaha kama kisu/panga
Au ni nini hasa unatakiwa ukitambue kwanza sababu wao kama binadamu wanaweza kufa usiku ambao wewe umefika ktk nyumba hiyo.
Nawasilisha