Every person is responsible for his/ her health. Ile ni just a caution tuu kukupa awarenees.Inawezekana mimi huwa sielew vizuri maana ya Tbs ..hususani pale nnapoona mabanko ya sigara yameandikwa "Uvutaji wa sigara ni hatari kwa afya yako'" na bdo zinaruhusiwa kuuzwa jeee Tbs inapima ubora upi???? wa viwango??
nawasilisha
Hujawahi kuona lile onyo linalotolewa kwa watumiaji wa tumbaku?.sawa mkuu.. ila sheria huvunjwa na aijuae
Ofisi ziko ubungo zinapakana na kituo kikuu cha mabasi nenda kapate jibu kutoka kwa wahusikaInawezekana mimi huwa sielew vizuri maana ya Tbs ..hususani pale nnapoona mabanko ya sigara yameandikwa "Uvutaji wa sigara ni hatari kwa afya yako'" na bdo zinaruhusiwa kuuzwa jeee Tbs inapima ubora upi???? wa viwango??
nawasilisha
Inawezekana mimi huwa sielew vizuri maana ya Tbs ..hususani pale nnapoona mabanko ya sigara yameandikwa "Uvutaji wa sigara ni hatari kwa afya yako'" na bdo zinaruhusiwa kuuzwa jeee Tbs inapima ubora upi???? wa viwango??
nawasilisha
kama siyo uwepo wa TBS hata hiyo tahadhari usingeiona.Inawezekana mimi huwa sielew vizuri maana ya Tbs ..hususani pale nnapoona mabanko ya sigara yameandikwa "Uvutaji wa sigara ni hatari kwa afya yako'" na bdo zinaruhusiwa kuuzwa jeee Tbs inapima ubora upi???? wa viwango??
nawasilisha