Kambi ya Fisi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,556
- 22,087
Kila mmoja anapokuwa nyumbani kuna jambo fulani huwa linamfanya ajisikie kweli yupo na mpenzi wake, ngoja nikupe kidogo la kwangu na itapendeza na wewe ukinipa la kwako kama unalo.
Kwa karibu miaka 25 sasa, Naomi wangu kila anapoenda kuoga huniita na kunipa maelekezo, “Mpenzi, tafadhali nipatie taulo yangu, nipatie sabuni ya kuogea, nipatie shampoo yangu, nipe hii nipe na hiyo."
Nikiisha mpatia vyote huniamuru nimsubiri humo humo bafuni hadi amalize kuoga .
Ingawa mimi hutenda kwa msisimko, lakini huwa nashangaa kwa nini hawezi kuweka vitu vyake vyote vya kuogea kwenye rafu huko bafuni.
Hii lifestyle niliipenda sana kwa miaka ya mwanzo wa ndoa yetu ila kwa sasa basi tu Ila siwezi kuiepuka kwa kuwa Naomi huwa ananifanya nisisimke sana kila nimuonapo akioga hivyo anaponiita na kunituma huwa naona poa sana.
Vipi huko kwenu ni mwaka wa ngapi sasa bado mnaendeleza yale yale mlioanza nayo baada tu ya kuoana?
NB: Wale single naomba msome Ila msikoment.
Kwa karibu miaka 25 sasa, Naomi wangu kila anapoenda kuoga huniita na kunipa maelekezo, “Mpenzi, tafadhali nipatie taulo yangu, nipatie sabuni ya kuogea, nipatie shampoo yangu, nipe hii nipe na hiyo."
Nikiisha mpatia vyote huniamuru nimsubiri humo humo bafuni hadi amalize kuoga .
Ingawa mimi hutenda kwa msisimko, lakini huwa nashangaa kwa nini hawezi kuweka vitu vyake vyote vya kuogea kwenye rafu huko bafuni.
Hii lifestyle niliipenda sana kwa miaka ya mwanzo wa ndoa yetu ila kwa sasa basi tu Ila siwezi kuiepuka kwa kuwa Naomi huwa ananifanya nisisimke sana kila nimuonapo akioga hivyo anaponiita na kunituma huwa naona poa sana.
Vipi huko kwenu ni mwaka wa ngapi sasa bado mnaendeleza yale yale mlioanza nayo baada tu ya kuoana?
NB: Wale single naomba msome Ila msikoment.