Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,557
- 19,107
Ni simu tamu sana hiyo lakini cha zaidi yaani uspesho wake ni jina lake kubwaDaah! Mbona uzi hautembei.
Hivyo wale ambao mnatumia Iphone mmeshindwa kuja kutuambia huo uspesho angalau na mie nishawishike kumuomba Sesten Zakazaka aninunulie. πππ
Hahahaaa. Hapana bana Ses maana nasikia zinaanzia 1M huko. Sasa si bora kubakia na hii simu yangu ya tochi tu. ππππNi simu tamu sana hiyo lakini cha zaidi yaani uspesho wake ni jina lake kubwa
Kauli yako kwangu ni amri ujue Shadeeya ππππ
Wewe hutaki mbwembwe kwani Shadeeya? Ingawa kila mtua na uchizi wake ujue!πππHahahaaa. Hapana bana Ses maana nasikia zinaanzia 1M huko. Sasa si bora kubakia na hii simu yangu ya tochi tu. ππππ
Hapana mie sipendi mbwembwe nadhani kwa vile ni age go labda ππ. ππWewe hutaki mbwembwe kwani Shadeeya? Ingawa kila mtua na uchizi wake ujue!πππ
Kuna wengine machizi viatu, wengine machizi magari, wengine machizi simu tena aina fulani ya simu kama hivyo iPhone, wengine machizi nguo sasa inategemea kama unachizika na simu kali hata kama haina cha ziada saana
Hahahaaa eti wewe age go wakati ndio kwanzaa saa sita na robo π ππHapana mie sipendi mbwembwe nadhani kwa vile ni age go labda ππ. ππ
Na uchizi wangu haupo kwenye simu pia Ses.
Hahahaaa eti wewe age go wakati ndio kwanzaa saa sita na robo π ππ
Hapana sio bora mawasiliano simu iwe ya kueleweka lakini iliyo bei chini sio simu ina bei kama unanunua kiwanja. πππHivyo wewe bora mawasiliano eeh Shadeeya?
Ntakwambia Ses. ππNatamani niujue huo ucizi wako ulipo au utaninong'oneza?ππ
Ni ushambaa wa watumiaje tu...!!
Ndio ukweli wenyeweHahahahaaa. πββοΈ
Hahahahaa sawa banaHapana sio bora mawasiliano simu iwe ya kueleweka lakini iliyo bei chini sio simu ina bei kama unanunua kiwanja
Nasubiria kwa hamuNtakwambia Ses
Mzee baba umenifata na hukuu..Wewe ndio Mshamba na Tecno yako kuku pori wewe!!!
Mzee baba umenifata na hukuu..
Falaa sana we jamaa..sema freshMtoto wangu me na wewe hadi uache utoto!!!
Falaa sana we jamaa..sema fresh
Wewe unaota alafu hakuna unachojua kati ya ugomvi wa US na China na Issue za 5G. Kwa kifupi you lack details in Global IssuesSoma taarifa ya marekani utalewa vita ya biashara inayoendelea
Huwezi fananisha simu za Huawei na I phone kwa sasa
I phone mambo ni magumu yanaweza mkuta ya Nokia, Teknoloji mnamtupa mkono sasa
Mauzo ya I phone ndio yanajifia, 5g technology na Foldable phone marekani anaumia sana, Mwingereza Yeye 5g hana shida, Marekani mambo hoi
Kwaheri i phone tulikupenda kama Nokia enzi hizo
Umofia kwenu,
Hizi iPhone zinazoimbwa na kusujudikiwa kwanzia huku mtaani mpaka mitandaoni zina uspesho gani hasa wa kipekee? Mwezi wa tatu sasa huu natumia iPhone 7 sijaona upekee wowote, sana sana naimisi Samsung yangu ambayo nilikuwa naitumia hapo kabla.
Labda wakuu, uspecial wa iPhone ni nini haswa?