Mwambie mtoa mada akuuzie,maana kasema haina maanaNahitaji Iphone 7 mwenye nayo atangaze bei hapa!
bosi acha iphone kama madini. natumia iphone x mass na samsung note 9 ukiweka iphone sikioni watu wanashituka hataka kama mtu anakudai bora usipokee mbele yake,bora upokee samsung hatajua copy
1.Aina ya Battery yake na Ujazo wake si mwingi kukufanya upoteze charge katika social platformsNipe ufafanuzi hapo kwenye namba 5
Hakuna umaalumu wowote hapo.Umofia kwenu,
Hizi iPhone zinazoimbwa na kusujudikiwa kwanzia huku mtaani mpaka mitandaoni zina uspesho gani hasa wa kipekee? Mwezi wa tatu sasa huu natumia iPhone 7 sijaona upekee wowote, sana sana naimisi Samsung yangu ambayo nilikuwa naitumia hapo kabla.
Labda wakuu, uspecial wa iPhone ni nini haswa?
Wewe huna akiliUspecial wa I phone ni kama ufuatao:-
1. Unaweza kuwa unatumia I phone ya Zamani (Zaidi ya miaka mitano ilopita) kwa OS latest tofauti na Android Phones ambazo kila siku OS inabadilishwa hivyo kufanya simu zinakuwa za kizamani ndani ya kipindi kifupi
2. Uimara na ubora wa simu kama kifaa, huwezi fananisha I phone na Samsung ya aina yoyote ile linapokukwa suala la ubora wa simu kama kifaa
3. I phone ipo kwenye closed eco system hivyo ni ideal kwa watumiaji wasiopenda michanganyiko ya kimatumizi mfano kwenye I phones hakuna sijui mambo ya GB whatsapp sijui app za ajabuajabu na uchafu wake. Kila kitu kimepangiliwa.
4. I phone ni simu ngumu kudukua tofauti na simu za android. Ndio maana I phone hata ukiina ikawa locked sanasana utaishia kuitumia kama spare parts na sio kama simu tena!
5. I phone ni simu ya watu ambao wako organized na mambo yao sio simu ya kuchezeachea, kama wewe ninwale watu ambao kila saa jicho liko kwenye simu kwa mambo ya kipuuzi basi I phone haikufai. I phone sito simu ya kushinda unachat na kuperuzi Instagram na facebook licha ya kwamba inauwezo wa kuaccess huduma hizo.
6. I phone ni Special sababu haifanani na simu nyingine nyingi kama zinavyofanana.
Ni ngumu sana kuielewa I phone kama uliinunua kwa fashion tu au just kutaka kufit in!
Soma taarifa ya marekani utalewa vita ya biashara inayoendeleaWewe ulipoanza kutumia iPhone kwanza ulitegemea kitu gani ambacho umekikosa?
Huenda ulinunua Iphone kama Pembejeo ya kung’olea Mtoto mkali halafu akakutosa hapo hakuna Application wala chochote kitakachokuvutia kwny Iphone
Sisi Team IPhone huwa tunasema Iphone na simu zingine yaan sijui Samsung, sijui techno, sijui Sony sijui huawei zote tumeziweka kundi moja dhidi ya IPhone
wewe huna Iphone unaleta shobo tuUmofia kwenu,
Hizi iPhone zinazoimbwa na kusujudikiwa kwanzia huku mtaani mpaka mitandaoni zina uspesho gani hasa wa kipekee? Mwezi wa tatu sasa huu natumia iPhone 7 sijaona upekee wowote, sana sana naimisi Samsung yangu ambayo nilikuwa naitumia hapo kabla.
Labda wakuu, uspecial wa iPhone ni nini haswa?
Wewe ndio huna akili na hakuna unalolijua kuhusu I phone! Tatizo la marekani na Huawei halina muingiliano na mambo ya I phone na uspecial wake tunaojadili hapa. Go back and learn!Wewe huna akili
Trump anapambana na Huawei mambo magumu kwa I phone
I phone bado sana, Nunua huawei P series au Nova series Halafu utajua kwanini marekani anahangaika na Huawei
Mambo magumu kwa i phone bwana mkubwa technologia imemtupa mkono