Imani za kishirikina zinakujaje hapo. Mganga ndo anakwambia huachane na mwenzio wa ndoa kwenda nje? Mawili ya mwanzo nakuunga mkono Aisha.Tamaa, ukosefu wa upendo wa dhati na imani za kishirikina
MmhhhhhNaomba data zote, reference, za researchUlizofanya ..No research - no wright to speak. Pombe ni sababu, kipato ni sababu, tamaa za mwili ni sababu, tamaa za vitu mbalimbali ni sababu. Utandawazi ni sababu, All in all Ni kasi ya Shetani kuangamiza watu wa Mungu. Akuna alofanya tendo hilo akamaliza na kujipongeza, huwa ni kujilaum. Ila tamaa ikiwaka tena unarudia. Ukitoka na magonjwa ni kuangaika kujitibu.
No research - no wright to speak. Pombe ni sababu, kipato ni sababu, tamaa za mwili ni sababu, tamaa za vitu mbalimbali ni sababu. Utandawazi ni sababu, All in all Ni kasi ya Shetani kuangamiza watu wa Mungu. Akuna alofanya tendo hilo akamaliza na kujipongeza, huwa ni kujilaum. Ila tamaa ikiwaka tena unarudia. Ukitoka na magonjwa ni kuangaika kujitibu.
Dah, mi kuna wakati najiuliza kwa nini Mungu alituumbia hii miili yenye tamaa ya kukutana na jinsia ingine. Ukiwa hujaolewa ukafanya hio kitu ni dhambi, lkn ni mara chache sana utakuta mwanaume aliyekaa say miaka 30 bila kufanya hicho kitu mpaka akaoa. Kadhalika mwanamke. Mtu akioa halafu akatoka nje ya hiyo kingo nayo ni dhambi. Sasa kwa nn tuna miili ya hivi? Kuna watu kama kina Ibrahimu, Yakobo walizaa mpaka na wajakazi wa wake zao, Je na wao ilikuwa je? Mbona walikuwa wanaongea na Mungu.
No research - no wright to speak. Pombe ni sababu, kipato ni sababu, tamaa za mwili ni sababu, tamaa za vitu mbalimbali ni sababu. Utandawazi ni sababu, All in all Ni kasi ya Shetani kuangamiza watu wa Mungu. Akuna alofanya tendo hilo akamaliza na kujipongeza, huwa ni kujilaum. Ila tamaa ikiwaka tena unarudia. Ukitoka na magonjwa ni kuangaika kujitibu.
kutokuwa na uaminifu ktk ndoa au wapenzi ni janga la dunia hususani kwa wale walio ktk ndoa.lakini hivi ni kweli haya hufanywa kwa bahati mbaya?au ni shetani tu kama wengi wanavyodai?