Kimetah
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 1,049
- 189
Ushindi uliongezeka kwa wapinzami kushinda uchaguzi wa serikali za mitaa ni nguvu ya vyama vinavyouunda UKAWA iliyoongeza imani ya watanzania kwao na sio chama kimoja kimoja.
Ndio maana wataalamu wa mambo tunasema hakuna ushindi wa chadema au cuf au nccr au nld bila UKAWA.
UKAWA ikifa CCM itashinda kwa 99%
Ndio maana wataalamu wa mambo tunasema hakuna ushindi wa chadema au cuf au nccr au nld bila UKAWA.
UKAWA ikifa CCM itashinda kwa 99%