huyu hasheem naye misifa tu unataka kusema katika soka la tanzania anamfahamu ngassa na kaseja tu peke yake? Si uongo huu?
Ikiwa hata watanzania wenyewe hatujui wala hatutaki kujishighulisha kujua wachezaji wazuri katika medani za soka la Bongo, zaidi ya Ngassa na Kaseja kuna kitu kweli hapo??!!!
bwana eeee, mastaa hao bana wa sinza!
Labda kwenye muziki atakuwa anamfahamu t.i.d na lady jd, na habari ni mhudini michuzi na safu za viongozi wa nchi hii ni jakaya tu!!. Kwa upande wa vyuo nadhan itakuwa ni ifm tu....
kumbi za starehe ni BILLZ kama hajataja na hapo Diamond JUbileee (!!!)