Ni ndoa zipi zinazoongoza kwa michepuko?

Ni ndoa zipi zinazoongoza kwa michepuko?

Jumong S

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2013
Posts
7,427
Reaction score
10,749
Wana jamvi.
Zipo ndoa za aina nyingi ila commonly ni,
1. Ndoa za kikristo
Hapa mtu mume huoa mke mmoja tu kisheria na mlango hufungwa kwa wanandoa kufaidiana peke yao. Hapa kama hukuwahi kuutumia ujana, jua ukioa hakuna mlango wa kutokea kwenda kula mabolibo ya jirani zako.

2. Ndoa za kiislam
Hapa mtu mume huoa wake kati ya mmoja mpaka wanne. Hapa mwanaume unashauriwa kuchagua vizuri, mf modal, mwenye ma.kalio makubwa na mvuto wa sura, mweupe namba 8 n.k. Chagua vzr ukikosea ukishafunga ndoa hakuna ruksa kuonja mchuzi wa mama Chaudele

3. Ndoa za kimila/kiserikali
Hapa pia inategemeana na jamii husika. Nyingine huruhusu mke mmoja au zaidi. Ila kuna taratibu zake, japo kuna wanaokuwa na wake mpaka 8. Ukifunga kiserikali anatambuliwa mmoja tu.


Sasa tujadili, NI NDOA IPI INAONGOZA KWA KUCHEPUKA? kwa nini na nini kifanyike kuzuia mbuzi kula mahindi ya jirani?
 
Hamna kuchepuka kutokana na aina ya ndoa

Uaminifu hauji kwa aina ya ndoa
 
Hapo sasa uDini umeuleta na ni uchochezi, utauliza na wafungwa, walevi, wanajeshi mawaziri
 
Baadae tujadili makabila yanayoongoza kwa michepuko kwa hapa Tanzania.
 
Kuchepuka kunahusu wanaume tu? Ndoa ni faida kwa wanaume tu? Sioni wanawake wakijadiliwa hapo
 
Wana jamvi.
Zipo ndoa za aina nyingi ila commonly ni,
1. Ndoa za kikristo
Hapa mtu mume huoa mke mmoja tu kisheria na mlango hufungwa kwa wanandoa kufaidiana peke yao. Hapa kama hukuwahi kuutumia ujana, jua ukioa hakuna mlango wa kutokea kwenda kula mabolibo ya jirani zako.

2. Ndoa za kiislam
Hapa mtu mume huoa wake kati ya mmoja mpaka wanne. Hapa mwanaume unashauriwa kuchagua vizuri, mf modal, mwenye ma.kalio makubwa na mvuto wa sura, mweupe namba 8 n.k. Chagua vzr ukikosea ukishafunga ndoa hakuna ruksa kuonja mchuzi wa mama Chaudele

3. Ndoa za kimila/kiserikali
Hapa pia inategemeana na jamii husika. Nyingine huruhusu mke mmoja au zaidi. Ila kuna taratibu zake, japo kuna wanaokuwa na wake mpaka 8. Ukifunga kiserikali anatambuliwa mmoja tu.


Sasa tujadili, NI NDOA IPI INAONGOZA KWA KUCHEPUKA? kwa nini na nini kifanyike kuzuia mbuzi kula mahindi ya jirani?
Cc: faiza
 
Aina ya ndoa haiamui au kuhamasisha mchepuko. Mchepuko umekuwa rooted kwenye tabia ya mtu
 
Ndugu uislam haujafundisha kuoa modal mwenye makalio or whatsoever. Acha kupotosha jamiii kama hujui nyamaza tu ujuzwe

Mwanaume wa kiislam anaoa mwanamke kwa kuangaliwa dini je anayo? Magonjwa ya kurithi (baadhi ya vigezo)

Kuoa wake wanne n tumeamrishwa hivo Kwa mume mwenye uwezo kama unao unaanza wawili Kwa kifwata baadhi ya vigezo nimetaja


Aina ya ndoa haifanyi mtu kuchepuka uchepukaji n hulka tu
 
Wana jamvi.
Zipo ndoa za aina nyingi ila commonly ni,
1. Ndoa za kikristo
Hapa mtu mume huoa mke mmoja tu kisheria na mlango hufungwa kwa wanandoa kufaidiana peke yao. Hapa kama hukuwahi kuutumia ujana, jua ukioa hakuna mlango wa kutokea kwenda kula mabolibo ya jirani zako.

2. Ndoa za kiislam
Hapa mtu mume huoa wake kati ya mmoja mpaka wanne. Hapa mwanaume unashauriwa kuchagua vizuri, mf modal, mwenye ma.kalio makubwa na mvuto wa sura, mweupe namba 8 n.k. Chagua vzr ukikosea ukishafunga ndoa hakuna ruksa kuonja mchuzi wa mama Chaudele

3. Ndoa za kimila/kiserikali
Hapa pia inategemeana na jamii husika. Nyingine huruhusu mke mmoja au zaidi. Ila kuna taratibu zake, japo kuna wanaokuwa na wake mpaka 8. Ukifunga kiserikali anatambuliwa mmoja tu.


Sasa tujadili, NI NDOA IPI INAONGOZA KWA KUCHEPUKA? kwa nini na nini kifanyike kuzuia mbuzi kula mahindi ya jirani?
Wewe uko kwenye ndoa IPI kati ya ulizozitaja? Umechepuka mara ngapi? Tuweke wazi.
 
Back
Top Bottom