Kukusaidia tu iko hivi baada ya uonevu na kusahaulika kwa Gabo del Gado kwa mda mrefu Sana katika msumbiji hatimae gas ili vumbuliwaHABARINI NDUGU ZANGU NATUMAINI MU WAZIMA WA AFYA.
Nimekuwa nikijiuliza maswali mengi juu ya hawa magaidi au vikundi vya waasi hasa barani Afrika lakini zaidi hawa Islamic state kutoka Mozambique Cabo delgado Jimbo ambalo lipo karibu kabisa na nchi yetu Tanzania.
Waasi hawa walianza kutikisa mnano katikati ya mwaka 2018-19 huku wakifanya mashambuliz yao kwa mara ya Kwanza 2019.
1.Je Ni Nani mshirika wao mkubwa au ambae yuko nyuma Yao sisi hatumuoni?
2.Ni Nani anayewauzia siraha au labla wanazitengeneza wenyewe.??
3.Hivi Ni kweli jeshi la wananchi wa Msumbiji/Mozambique wameshindwa kabisa kuwakabiri ikiwa makao makuu Yao yanajulikana?
4.Taasisi za amani duniani nazo nokweli zimeshindwa?? UN, AU na taasisi au nchi nyingine zenye nguvu??
5.Nini hasa wanachokitafuta huko Mozambique au Nini sababu ya wao kufanya mashambuliz yao huko.??
NATUMAINI MIONGONI MWETU KUNA WATAKAO TOA MAJIBU MAZURI YA MASWALI HAYO NNAYOJIULIZA(TUNAYOJIULIZA) AU KUTOA MWANGA UTAKAO NIFANYA NIELEWE(TUELEWE).ASANTE.View attachment 1981032View attachment 1981034
Hao wafadhili kumbe wako hapahapa kwetu. Nadhani yule aliyekinunua kituo cha Oysterbay ni miongoni mwao, na yule alivishwa kanga kule ufukweniKukusaidia tu iko hivi baada ya uonevu na kusahaulika kwa Gabo del Gado kwa mda mrefu Sana katika msumbiji hatimae gas ili vumbuliwa
Wakazi wa Gabo del Gado wakataka serikali isiwatambue na iendelee kuwasahau Kama ilivyokuwa mwanzo
Vijana wakajikusanya kupinga baadae wakaja watu wakaingiza udini ndio kikawa hiki unachokiona
Wanaofadhili ,jeshi la msumbiji liliwahi kusema kuwa Kuna watu wanne wawili ni wamozambique na wawili wanaishi Dar es salam Tanzania jiongeze
Umoja wa mataifa hujihusishi kwakuwa bado USA na uingereza hazina maslahi ya moja kwa moja na ukumbuke Mozambique ni Portuguese fone kwahiyo mwenye ushawishi ni ureno ambae hawezi push chochote Un
Huyo wa kituo Cha osterbey mbona simfahamu?Hao wafadhili kumbe wako hapahapa kwetu. Nadhani yule aliyekinunua kituo cha Oysterbay ni miongoni mwao, na yule alivishwa kanga kule ufukweni
Tajiri sana, nadhani wale wauza chapati na juisi hawamfikii hata kidogoHuyo wa kituo Cha osterbey mbona simfahamu?
Hawa washenzi wanasapotiwa na serikali ya Saudi ArabiaHABARINI NDUGU ZANGU NATUMAINI MU WAZIMA WA AFYA.
Nimekuwa nikijiuliza maswali mengi juu ya hawa magaidi au vikundi vya waasi hasa barani Afrika lakini zaidi hawa Islamic state kutoka Mozambique Cabo delgado Jimbo ambalo lipo karibu kabisa na nchi yetu Tanzania.
Waasi hawa walianza kutikisa mnano katikati ya mwaka 2018-19 huku wakifanya mashambuliz yao kwa mara ya Kwanza 2019.
1.Je Ni Nani mshirika wao mkubwa au ambae yuko nyuma Yao sisi hatumuoni?
2.Ni Nani anayewauzia siraha au labla wanazitengeneza wenyewe.??
3.Hivi Ni kweli jeshi la wananchi wa Msumbiji/Mozambique wameshindwa kabisa kuwakabiri ikiwa makao makuu Yao yanajulikana?
4.Taasisi za amani duniani nazo nokweli zimeshindwa?? UN, AU na taasisi au nchi nyingine zenye nguvu??
5.Nini hasa wanachokitafuta huko Mozambique au Nini sababu ya wao kufanya mashambuliz yao huko.??
NATUMAINI MIONGONI MWETU KUNA WATAKAO TOA MAJIBU MAZURI YA MASWALI HAYO NNAYOJIULIZA(TUNAYOJIULIZA) AU KUTOA MWANGA UTAKAO NIFANYA NIELEWE(TUELEWE).ASANTE.View attachment 1981032View attachment 1981034
Hao wafadhili kumbe wako hapahapa kwetu. Nadhani yule aliyekinunua kituo cha Oysterbay ni miongoni mwao, na yule alivishwa kanga kule ufukweni
GmsOysterbay gas station ni ipi hiyo?
Wawili wanaishi Dar Es Salaam, Tanzania???Kukusaidia tu iko hivi baada ya uonevu na kusahaulika kwa Gabo del Gado kwa mda mrefu Sana katika msumbiji hatimae gas ili vumbuliwa
Wakazi wa Gabo del Gado wakataka serikali isiwatambue na iendelee kuwasahau Kama ilivyokuwa mwanzo
Vijana wakajikusanya kupinga baadae wakaja watu wakaingiza udini ndio kikawa hiki unachokiona
Wanaofadhili ,jeshi la msumbiji liliwahi kusema kuwa Kuna watu wanne wawili ni wamozambique na wawili wanaishi Dar es salam Tanzania jiongeze
Umoja wa mataifa hujihusishi kwakuwa bado USA na uingereza hazina maslahi ya moja kwa moja na ukumbuke Mozambique ni Portuguese fone kwahiyo mwenye ushawishi ni ureno ambae hawezi push chochote Un
Huyu wa kanga anajihusisha na mafuta na gesi pia... Au umeamua kumzingishia tu ??Hao wafadhili kumbe wako hapahapa kwetu. Nadhani yule aliyekinunua kituo cha Oysterbay ni miongoni mwao, na yule alivishwa kanga kule ufukweni
Saudi Arabia wananufaika nini na Msumbiji?Hawa washenzi wanasapotiwa na serikali ya Saudi Arabia
Saudi Arabia wananufaika nini na Msumbiji?
YeahWawili wanaishi Dar Es Salaam, Tanzania???
DuuhVilevile ni yanga lialia.
Kwa Tz wasingeweza mkuu....KUHUSU MSUMBIJI
Naona majibu mengi yanayoletwa ni ya porojo tu tusubiri hali ikipoa tutakudadavulia kimantiki kwa hali inanayoendelea hapa jirani zetu na hata sisi tunaguswaguswa ijapokuwa si kama ilivyokawa mwanzo ulinzi wetu unajitahidi.
VIKOSI VINADHAMINIWA NA.
Mabeberu hilo halipingiki na source ni Gas na hii ni kama wadhaminivyo sehemu nyingine kwenye maeneo ya madini au Mafuta na huu mfumo wa kutumia kikundi chenye mlengo wa kidini au ukabila hutumika kutokana na sehemu husika ili waweze kutengeneza kikosi na kuwapatia siraha ili pasiwe na amani ili wao wajibebee wakitakacho au wazuie kisiguswe na hata serikali husika kipindi ambacho vurugu zikiendelea wao wanamuandaa mtawala wao watakaempangia watakavyo kipindi hicho aliyopo anaandaliwa Kuuawa, Kupinduliwa au Kupokonywa kidemokrasia.
Nikupe mfano mdogo hapa Tanzania kipindi cha JK Sakata la gesi Mtwara na Lindi taharuki ilokaletwa na wananchi kwa kuzuia isitoke kupitia lile Mabeberu wangehitajia ilikuwa ni kuingiza siraha nchini kisiri na wananchi wangapambana na jeshi ila muumba alinusuru kwalo.
Hayo ndio hufanywa Congo kwenye madini kwa kushawishi makabila husika na jambo la msingi la kujiuliza kwa nini viwanda private vya siraha hadi kesho Ulaya na America vinakithiri na uongozi wao wanatoa vibari hizo siraha zinauzwa wapi siku zote........
Mkuu usijidanganye kama waliwezekana WaLibya na good life yao wanashindwaje nchi zetu hizi za pangu pakavu ni jambo la kumuomba Allah anusuru tu wasituletee hayo MapropagandaKwa Tz wasingeweza mkuu....
Jiulize pia wananufaika na nini kusponsor magaidi duniani?Saudi Arabia wananufaika nini na Msumbiji?