Sam pizzo
JF-Expert Member
- Sep 27, 2012
- 900
- 617
Kutokana na hali ya maandamano ya Leo na machafuko yanayoendelea nchini ni dhahiri serikali na jopo lao lote ambao waliamua kutumia nguvu ,utekaji,ukiukwaji wa haki za binadamu,kufunga upatikanaji wa taarifa wanapaswa kuchukuliwa hatua Kali za kitaifa na kimataifa. Kesi ifunguliwe mahakama ya kimataifa( The hague) dhidhi ya Samia Suluhu Hasan.
Aluta continua!
Aluta continua!