mansolata
JF-Expert Member
- Aug 8, 2016
- 503
- 317
Habari wana jf
Hatuna budi kumshukuru muumba kwa yote yaliyopita, yaliyopo na yajoyo.
Nizaidi ya miaka 50 sasa tangu nchiyetu hii pendwa ilipo twaa Uhuru wake ksmili. Uhuru ambao unatoa uhalali kwa Watanzania wenyewe kujipangia msuala mbalimbali kwa lengo la kusukuma gurudumu.
Pamoja na umri mrefu wa Uhuru tulio nao kuna baadhi ya maeneo hususani vijijini hali ni mbaya sana. Utashangaa kukuta watu wanalialia:-
-hatuna barabara
-hatuna maji
-madarasa hayatoshi
-hatuna walimu
-mawasiliano kapande mti ulee!
-hatuna Umeme
Utafikiri tupo kwenye harakati za kutwaa Uhuru muongo ujao
Hebu tujiulize na kutafakari:-
..tunakosea wapi?
..kwanini?
..tumelogewa wapi?
..tufanyenini?
Kwa walio baatika kutazama taarifa ya habari ya Channel ten saa 12 hasubuhi ya leo watauelewa zaidi Uzi huu.
Karibuni
Hatuna budi kumshukuru muumba kwa yote yaliyopita, yaliyopo na yajoyo.
Nizaidi ya miaka 50 sasa tangu nchiyetu hii pendwa ilipo twaa Uhuru wake ksmili. Uhuru ambao unatoa uhalali kwa Watanzania wenyewe kujipangia msuala mbalimbali kwa lengo la kusukuma gurudumu.
Pamoja na umri mrefu wa Uhuru tulio nao kuna baadhi ya maeneo hususani vijijini hali ni mbaya sana. Utashangaa kukuta watu wanalialia:-
-hatuna barabara
-hatuna maji
-madarasa hayatoshi
-hatuna walimu
-mawasiliano kapande mti ulee!
-hatuna Umeme
Utafikiri tupo kwenye harakati za kutwaa Uhuru muongo ujao
Hebu tujiulize na kutafakari:-
..tunakosea wapi?
..kwanini?
..tumelogewa wapi?
..tufanyenini?
Kwa walio baatika kutazama taarifa ya habari ya Channel ten saa 12 hasubuhi ya leo watauelewa zaidi Uzi huu.
Karibuni