Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 1,997
- 7,552
Hotuba ya Rais Samia imenigusa sana, nataka kufahamu huyo aliye mtukana.
Kwanini Wanasiasa wasijifunze kuendesha siaza za kistaarabu kama anavyofanya Tundu Lissu?
Huwezi kusikia Lissu anatukana, sanasana atakwambia ukweli tu na hata ukimpeleka mahakamani hutamkuta na hatia, utaishia kuaibika wewe.
Huyo mtu aliyemtusi Rais wetu anapaswa ajifunze kwa Lissu jinsi ya kufanya siasa za kweli zinazogusa maisha ya walala hoi wanao onewa.
Pole sana Mheshimiwa Rais wetu.
Kwanini Wanasiasa wasijifunze kuendesha siaza za kistaarabu kama anavyofanya Tundu Lissu?
Huwezi kusikia Lissu anatukana, sanasana atakwambia ukweli tu na hata ukimpeleka mahakamani hutamkuta na hatia, utaishia kuaibika wewe.
Huyo mtu aliyemtusi Rais wetu anapaswa ajifunze kwa Lissu jinsi ya kufanya siasa za kweli zinazogusa maisha ya walala hoi wanao onewa.
Pole sana Mheshimiwa Rais wetu.