sima salva official
JF-Expert Member
- Jun 21, 2017
- 210
- 89
Hivi nipende kuuliza aliyeharibu elimu ya msingi tanzania ni mawaziri ambao wanawekwa madarakani au maana kama bado watoto wa darasa la saba wanachagua mpaka hesabu hivi kizazi kijacho kutakuwa na wajuvi wa hesabu kweli?