Ni nani anayetoa siri nzito za CCM na kuwapa CDM?

yplus

Senior Member
Mar 20, 2012
153
69
Hii inadhihirisha kuna wana CDM ndani ya CCM ila hakuna wana CCM ndani ya CDM.
Najua CCM mnapasua vichwa kila siku kujiuliza ni nani anaye vujisha siri zenu nyeti na harakati zenu za kijasusi kwa wana CDM?
CCM mmekwisha na M4C itawala mbaya,kufikia mwaka 2015 mtakuwa mmebaki mifupa tu...
Nawasilisha...
 
Hii inadhihirisha kuna wana CDM ndani ya CCM ila hakuna wana CCM ndani ya CDM.
Najua CCM mnapasua vichwa kila siku kujiuliza ni nani anaye vujisha siri zenu nyeti na harakati zenu za kijasusi kwa wana CDM?
CCM mmekwisha na M4C itawala mbaya,kufikia mwaka 2015 mtakuwa mmebaki mifupa tu...
Nawasilisha...

Nape na Nchemba
 
Hii inadhihirisha kuna wana CDM ndani ya CCM ila hakuna wana CCM ndani ya CDM.
Najua CCM mnapasua vichwa kila siku kujiuliza ni nani anaye vujisha siri zenu nyeti na harakati zenu za kijasusi kwa wana CDM?
CCM mmekwisha na M4C itawala mbaya,kufikia mwaka 2015 mtakuwa mmebaki mifupa tu...
Nawasilisha...
Hapa umewasilisha nini? Mimi hata sielewi unaongea kitu gani. Maana husemi ni siri gani za CCM zilivuja kwenda CHADEMA na ni lini.
 
Wasira,mwigulu,mkama,ana makinda,Komba na kingunge ni wanachadema kila siku tunampa siri za c.c.m Dk.slaa.tunaipenda cdm
 
Kabla ya kile kikao cha NEC cha CCM kilichotaka kuwafukuza MAFISADI, Kuna kile kikao cha sekretarieti kilichokuwa na wajumbe 9 tu, ila habari zao za ndani walizotaka hata wana CCM wasijue zikavuja zote.
 
Back
Top Bottom