Hii inadhihirisha kuna wana CDM ndani ya CCM ila hakuna wana CCM ndani ya CDM.
Najua CCM mnapasua vichwa kila siku kujiuliza ni nani anaye vujisha siri zenu nyeti na harakati zenu za kijasusi kwa wana CDM?
CCM mmekwisha na M4C itawala mbaya,kufikia mwaka 2015 mtakuwa mmebaki mifupa tu...
Nawasilisha...
Najua CCM mnapasua vichwa kila siku kujiuliza ni nani anaye vujisha siri zenu nyeti na harakati zenu za kijasusi kwa wana CDM?
CCM mmekwisha na M4C itawala mbaya,kufikia mwaka 2015 mtakuwa mmebaki mifupa tu...
Nawasilisha...