Ni nani anayemdanganya Edward Lowassa?

lowasa alipata, kura, milioni kumi ccm wakachakachua...ni rais wetu halali
Hakuna anayekukataza kuishi katika matumaini hewa!

Sema Lowassa ni Rais wako! Usiwaweke watanzania wote katika mwanvuli wa fikra zako.
 
Tukujadili wewe au tumjadili Lowasa? Anyway, kafikirie tena upya ili utambue utofauti kati yako na Lowasa.
 
Nadhani huu ushauri ungeanzia kwanza kwa Edward Lowassa ambaye kwa sasa kila anapokutana na kundi la Watu anaanza kudai amani iliyokuwepo baada ya uchaguzi mkuu imetokana na yeye kukaa kimya baada ya uchaguzi.
Hakukaa kimya baada ya uchaguzi, yeye na bavicha wenzake waliitisha maandamano yasiyo na kikomo nchi nzima wananchi wakawapuuza
 
Hoja ni nini tena? Ukiyajua hayo maswali huwezi uliza unachouliza.Ni mgombea gani wa upinzani aliwahi pata kura 6+m?
Wingi wa kura alizopata una uhusiano gani na amani ya Tanzania?

Kwa fikra zako kwa sababu watu zaidi ya milioni sita walimpa kuwa kwa hiyo hata fikra zao amewashikia!
 
Huyu mzee ni janga kwa ulimwengu!
 
Ni punguani peke yake ndiyo anaweza kukubaliana na hizo porojo za Lowassa, anadhani watanzania wote wana akili za nyumbu.
 
Lowassa hana effect yoyote Tanzania amebakiza porojo tu.
 
Wingi wa kura alizopata una uhusiano gani na amani ya Tanzania?

Kwa fikra zako kwa sababu watu zaidi ya milioni sita walimpa kuwa kwa hiyo hata fikra zao amewashikia!
Uliza duniani kote nini maana ya wafuasi halafu ukipata jibu utagundua.Wafuasi siku zote huwa wanasikiliza kiongozi wao anasema nini na ukiangalia hata kwenye history uprising zote zilitokea hivyo
 
Mzee Lowassa ni good looser! ('sina msamiati wa kushindwa'by El)
 
Lowassa lowasa lowasa my ass!!!!anadhani watu walikua wanampenda saaana hajui kama siasa ni unanifiki tu?!hajachelewa bado!awatume vijana wake waingie mtaani tuone
 
Nimekubali sana uchambuzi wako mkuu, ila kwa kuongezea kidogo ni kuwa, mazingira ya kisiasa ya nchi yetu hayajaegemea sana ukabila kama ilivyo kenya. Lowassa hata kama angesema lolote, athari yake ingekuwa dogo.

Jengine ni kuwa, baada ya jumuiya za kimataifa (pengine kasoro chache) kuupongeza uchaguzi wa Tanzania, Lowassa alikosa hoja ya kusema lolote kwani angetoa kauli eti vijana waingie barabarani nadhani pamoja athari yake ingekuwa ndogo ila wale jamaa wa ICC wangemtia nguvuni na hapo ccm wangechekelea mno.

Lowassa asiwadanganye watu kuwa ameepusha umwagaji damu ila moyoni kwa lowassa ninauhakika alikuwa anaihofia ICC
 
mumeo si ndo mshauri wake?ukimtema mumeo lowasa atatulia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…