Ni nani anayemdanganya Edward Lowassa?

Unapambana na jitu lenye miraba minne na utaishia kuandika makala ndeeeeefu na kujibu kila comment hapa,mtu mzima anaendelea na mambo yake huku wewe ukionekana hamnazo kwa kupambana na wanao kuzidi kwa kila kitu.
 
Unapambana na jitu lenye miraba minne na utaishia kuandika makala ndeeeeefu na kujibu kila comment hapa,mtu mzima anaendelea na mambo yake huku wewe ukionekana hamnazo kwa kupambana na wanao kuzidi kwa kila kitu.
Kama angekuwa ni jitu la miraba minne nadhani kwa sasa angekuwa Ikulu hasa ikichukuliwa amekuwa akifanya kila linalowezekana kuanzia mwaka 1992.

Politically, Lowassa is finished!
 
mpuuzi wewe kama sio hekima za lowasa sasa hivi ungekuwa kweye kambi za wakimbizi kenya. Pangewaka moto hapa nchni
i

huwezi kuwa mzima ww lazima uwe mwe*hu. Lowasa aliyetaka kuivuruga tanzania leo hii ajidai ndio kaleta amani na ww unashabikia??
 
Ukimsikiliza Lowassa kwa makini utagundua ni mtu ambaye kwa sasa anaishi kwenye fool's paradise!

Mzee mwanakijiji umesema ukweli kabisa lakini nadhani kishapata Ikulu katika mioyo ya baadhi ya wana JF ndiyo maana wanamtukana aliyeleta mada hapa wao wanatumia matusi kujibu hoja badala ya kutumia hoja kujibu hoja. Sijui hawa watu wamenyweshwa nini na huyu Lowasa ambaye mpaka April ama May mwaka jana walikua wanamtukana pia humu JF hao hao leo wanasema ni rais wa mioyo (Watanzania) sijui watanzania gani maana baadhi yetu tulimkataa kabla hajahama CCM sijui na sisi tunalazimishwa awe rais wa mioyo yetu??
 
huwezi kuwa mzima ww lazima uwe mwe*hu. Lowasa aliyetaka kuivuruga tanzania leo hii ajidai ndio kaleta amani na ww unashabikia??
Msamehe tu kwa sababu hajitambui!

Hawa ndiyo wale walikuwa wanadeki barabara!
 
Ameandika liwaya ina mwanzo mwisho aina, basi angetuwekea na ref tujue. Eti msema kweli sijui labda kwa watoto wako. Mbona ya Zanzibar hujaongea?
 
Ameandika liwaya ina mwanzo mwisho aina, basi angetuwekea na ref tujue. Eti msema kweli sijui labda kwa watoto wako. Mbona ya Zanzibar hujaongea?
Mbona wewe hujayaongea ya Zanzibar?

Zanzibar ni nchi yenye mipaka yake, Rais wake, Bunge lake, Mahakama zake na Jeshi lake!
 
Nadhani ume quote comment ambayo hukutarajia!

Mimi siyo Mzee mwanakijiji!

Hata hivyo hoja zako ni muhimu na valid.

Unapoona vijana wanadeki barabara lazima utajiuliza maswali mengi kama wana upeo mkubwa kifikra.
 
Uongo mwingine bwana uachefua huyo bwana msemajikweli inaonekana ana kituo chake binafsi cha habari anitajie tu kama jina lake alipojitangazia na kuamuru tume imtangaze ili nami na wengine wajiridhishe
 
Nadhani ume quote comment ambayo hukutarajia!

Mimi siyo Mzee mwanakijiji!

Hata hivyo hoja zako ni muhimu na valid.

Unapoona vijana wanadeki barabara lazima utajiuliza maswali mengi kama wana upeo mkubwa kifikra.

nliligundua hilo maana comment yangu ilikua inahusu majibu ya mzee mwanakijiji kaitka comment yako lakini nilipopost ilitokea ya kwako tu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…