Ni nani anamtishia maisha Kamishna wa kupambana na Dawa za Kulevya?

Ni nani anamtishia maisha Kamishna wa kupambana na Dawa za Kulevya?

Mhaini

Member
Joined
Apr 8, 2024
Posts
63
Reaction score
84
Hapa Nchini aliyepo juu ya Sheria ambaye tumesikia mara kadhaa anafanya atakavyo ni 'mmoja' tu!

Hakuna Mwingine mwenye jeuri ya kumtisha Kamishina wa madawa ya kulevya.

IMG-20250709-WA0068.jpg


Halafu Polisi wanafuatilia watu wanaoandika Mitandaoni na kudaia Serikali ina Mkono mrefu, halafu wanashindwa kukamata mtu anayemtishia Kamishina wa kupambana na Dawa za Kulevya.

Aretas Lyimo, Kamishna Jenerali DCEA, amelalalamikkia kutishiwa maisha. Ofisi ya kupambana na dawa za kukevya ipo Mita mia moja 100) kutoka Ikulu ya Dar es Salaam ilipo.

Lymo amelia sana na kulalamika na kuomba Gazeti la Mwananchi wahikikishe Taarifa hiyo inachapishwa ili waanganyika wajue.

"Matishio yanakuja, watu wanatishia. Unaweza kutumiwa message (ujumbe mfupi wa maandishi) hapohapo, ukiitafuta ile simu kwenye mtandao Ile simu kwenye mtandao haipo. Anakwambia hili jambo usipoliacha, labda mwezi fulani haufiki, tutakuwa tumekuua. Au mtu anakwambia hakikisha hili jambo unaachana nalo." Kalalamika Kamishina Aretas Lymo

Je, nani anamtisha Kamishina kiasi kwamba Polisi wanasema namba hawaipati? Kwamba laini inatupwa na simu inatupwa? Simu imepigwa kutoka IMEI namba ipi?
 
Dah kila nikikumbuka rafiki angu tulomaliza wote f4 alivoaga dunia kuhusu haya mambo dah kikatili sanaa

Allah akujaalie malazi mema huko ulipo Madenge
 
Acheni kubumba kila stori na Huyo abduli
Huyu lyimo tulishasema anataingia anga za cartel na watamkula kichwa muda sio mrefu kwa shobo zake
Alikuwepo mzungu wa tembo mwenye hadhi na connection mpaka kwa wafalme huko UK na aliliwa kichwa mchana kweupe na Dereva wa taxi huko Masaki
 
Swali lingine la ziada,
Je, wanashindwa kutrace NIN iliyotumika kusajili hiyo laini?
 
acheni kubumba kila stori na Huyo abduli
Huyu lyimo tulishasema anataingia anga za cartel na watamkula kichwa muda sio mrefu kwa shobo zake
Alikuwepo mzungu wa tembo mwenye hadhi na connection mpaka kwa wafalme huko UK na aliliwa kichwa mchana kweupe na Dereva wa taxi huko Masaki
Still unashangilia ujinga bro,
Ulitaka DCEA wadili na paracetamol badala ya Cocaine?
Yeye anatekeleza majukumu yake unaita shobo?
🙏
 
Vita ya dawa za kulevya si lele mama, ukianza kupambana nayo tegemea lolote kukukuta mkuu!
 
acheni kubumba kila stori na Huyo abduli
Huyu lyimo tulishasema anataingia anga za cartel na watamkula kichwa muda sio mrefu kwa shobo zake
Alikuwepo mzungu wa tembo mwenye hadhi na connection mpaka kwa wafalme huko UK na aliliwa kichwa mchana kweupe na Dereva wa taxi huko Masaki
Unajaribu kusema nini? Tuache biashara za miadarati zifanyike watakavyo hao drug cartels?
Hii itakuwa nchi?
 
Hizi mada nyingine hata hazieleweki zinataka nini?

Kwa hali iliyopo nchini sasa hivi utawezaje kumtaja mtu mmoja tu awe na uwezo wa aina hiyo?
Bashite hawezi kumtisha huyo Kamishna
Bwana Waziri? aliyekaribu na Samia hawezi kumtisha huyo mtu

Jitu kama lile dubwasha la Zimbabwe lililokuja kujinyoosha pale Ikulu na kugawa madola kwa wafanyakazi wa ndege, haliwezi kumtisha huyo Kamishna?

Mchengerwa akitaka mzigo upite, huyo Kamishna analo la kusema?

Hali ya nchi ilipofikia kuna jambo watu wa aina hii wanaloweza kushindwa kufanya?

Ndiyo, kila mtu anamjuwa Abdul hawezi kushindwa kitu, lakini siyo yeye pekee tena.
 
Abdul anapewa ukubwa na uwezo ambao hawezi kuwa nao. Kwa mfano vyombo kama TISS, TPDF kuwa vinachukuwa amri kwake.
 
acheni kubumba kila stori na Huyo abduli
Huyu lyimo tulishasema anataingia anga za cartel na watamkula kichwa muda sio mrefu kwa shobo zake
Alikuwepo mzungu wa tembo mwenye hadhi na connection mpaka kwa wafalme huko UK na aliliwa kichwa mchana kweupe na Dereva wa taxi huko Masaki
Dah!

Sikujuwa kuwa kumbe wewe ni kilaza kiasi hiki.

Hivi hata unaelewa unachozungumzia wewe? Kumbe ni chizi kiukweli kabisa na siyo utani?
 
Back
Top Bottom