Ni muda muafaka wa mabadiriko

Ni muda muafaka wa mabadiriko

T TRUTH

Member
Joined
Apr 22, 2013
Posts
89
Reaction score
10
Ni muda wa mabadiriko

ni muda wa kujikomboa

ni muda wa mapinduzi

ni muda wa kuondoa rushwa

ni muda wa kuondoa umasikini

ni muda wa kufurahia rasilimali zetu

ni muda wa mimi na wewe kuleta mabadiriko

tuchague viongozi na siyo vyama 2015

tukitaka viongozi safi kesho lazima tuwe safi leo kwa sababu kesho haiwi bila leo
 
Ni muda wa mabadiriko

ni muda wa kujikomboa

ni muda wa mapinduzi

ni muda wa kuondoa rushwa

ni muda wa kuondoa umasikini

ni muda wa kufurahia rasilimali zetu

ni muda wa mimi na wewe kuleta mabadiriko

tuchague viongozi na siyo vyama 2015

tukitaka viongozi safi kesho lazima tuwe safi leo kwa sababu kesho haiwi bila leo

bado kidogo, ngoja kidogo nimalizie kupiga dili zangu mbili tatu hv! wanoko wakija dili zitasanuka!
 
Pia chama kinamata sana kwa7bu kikwete hakudhaniwa kuwa mpole hv kw mafisadi,lakin kwkuw mafisadi hao*2 ndo walmkarbisha ktk chama (ccm) basi n lazma atekeleze matakwa yao. Dat the point ni kwamba ccm lazma iondolewe.
 
Back
Top Bottom