Kibo10
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,278
- 8,868
Kuna jambo jana lilijitokeza dodoma kwenye maadhimisho ya nyerere day ambalo kwa hali ya kawaida toka nimepata akili sikuwahi kushuudia. Ni lile jambo la Rais kikwete kupelekewa simu na kuipokea pale uwanjani.
Je,Inapofikia rais kuongea na simu kwenye halaiki ya watu ni kwa umuhimu gani? Mbona asinge ijibu baada ya shughuli? Aliyepiga hakujuwa rais alikuwa kwenye shughuli ya kitaifa?
Ni watu gani katika nchi wenye mamlaka ya kupigia rais simu muda wowote? Je,Rais si ana simu yake ya mfukoni? Kama anayo mbona aliyepiga alipiga kwenye simu iliyobebwa na msaidizi wake?
Wenye uelewa tunaomba ufafanuzi wa jambo hili.
Je,Inapofikia rais kuongea na simu kwenye halaiki ya watu ni kwa umuhimu gani? Mbona asinge ijibu baada ya shughuli? Aliyepiga hakujuwa rais alikuwa kwenye shughuli ya kitaifa?
Ni watu gani katika nchi wenye mamlaka ya kupigia rais simu muda wowote? Je,Rais si ana simu yake ya mfukoni? Kama anayo mbona aliyepiga alipiga kwenye simu iliyobebwa na msaidizi wake?
Wenye uelewa tunaomba ufafanuzi wa jambo hili.