Ni mji au jiji gani linaongoza kwa huduma bora za usafiri wa umma (daladala)

Orketeemi

JF-Expert Member
Feb 12, 2013
4,314
10,017
Wakuu suala la usafiri ndani ya mji au jiji umekuwa na changamoto tofauti tofauti sehemu mbali mbali.
Sijafika miji au majiji mengi ila kati ya majiji/ miji niliyofika ambayo ni DSM , Arusha, Mbeya , Dodoma na Moshi basi kwangu Mbeya ndio jiji lenye usafiri bora kabisa wa daladala.

Sifa kubwa za usafiri huu kwa Mbeya ni pamoja na:
1. Asilimia 90 daladala za jijini Mbeya ni coaster .
2. Asilimia 90 ya coaster hizo zina hali nzuri sana.
3. Makondakta wa daladala za Mbeya Ni wakarimu na wasafi sana.

Kati ya Majiji au miji niliyofika Arusha ndio naipa nafasi ya mwisho kwa huduma za usafiri wa daladala.
Je wengine mmefika wapi penye huduma nzuri zaidi za daladala kuliko jiji la Mbeya?
IMG_20190813_210056.jpg
IMG_20190813_205047.jpg

Pichani ni daladala za Mbeya
 
Wakuu suala la usafiri ndani ya mji au jiji umekuwa na changamoto tofauti tofauti sehemu mbali mbali.
Sijafika miji au majiji mengi ila kati ya majiji/ miji niliyofika ambayo ni DSM , Arusha, Mbeya , Dodoma na Moshi basi kwangu Mbeya ndio jiji lenye usafiri bora kabisa wa daladala.

Sifa kubwa za usafiri huu kwa Mbeya ni pamoja na:

1. Asilimia 90 daladala za jijini Mbeya ni coaster .
2. Asilimia 90 ya coaster hizo zina hali nzuri sana.
3. Makondakta wa daladala za Mbeya Ni wakarimu na wasafi sana.

Kati ya Majiji au miji niliyofika Arusha ndio naipa nafasi ya mwisho kwa huduma za usafiri wa daladala.

Je wengine mmefika wapi penye huduma nzuri zaidi za daladala kuliko jiji la Mbeya?

Pichani ni daladala za Mbeya
songea huku kuna daladala za mjimwema,,,,aisee ni kawaida sana kuangukiwa na mjusi,zina hadi cobwebs,hovyoooo
 
Vidaladala vya Arusha ni Kero sana. Kwanza ni vidogo kama vya kubebea Watoto. Most boring ni hayo Machata. Utaona mara Jah bless, Kingstone. kidaladala kimechorwa hadi Matairi.

Ni muhimu Sumatra wakavipiga marufuku hivi vipanya kuwe na Coster.

Ngoja niendelee kupambana na Baby walker yangu
 
Back
Top Bottom