MONTESQUIEU
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 847
- 80
Jamani cjaelewa kabisa yaani P.A.Y.E kwa wafanyakazi ni kubwa mno!
Yaani inatisha, mie kila nikipokea salary slip yangu nazidi kuichukia serikali kwa kunikata pesa zangu tele na huku maisha yakizidi kubana ...Jamani hivi wafanya biashara wanabanwa hivi?
Yaani inatisha, mie kila nikipokea salary slip yangu nazidi kuichukia serikali kwa kunikata pesa zangu tele na huku maisha yakizidi kubana ...Jamani hivi wafanya biashara wanabanwa hivi?