Ni mimi pekee au wenye macho mmeng'amua

Ni mimi pekee au wenye macho mmeng'amua

MlimaSayuni

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2013
Posts
6,544
Reaction score
11,644
Mbona kama Samia ameapishwa na Gwaride lenye mapungufu ya kimamlaka.

Pia hawa Askari wa Gwaride walilazimishwa au ilikuwaje?

CCM msipuuzie hili, nchi iko chini ya Jeshi now, wamemnyima mamlaka yake kwa mkakati maalumu, ili wamtoe wakitaka... CCM jisafisheni haraka kabla jeshi halijawafuta...
 
Mbona kama Samia ameapishwa na Gwaride lenye mapungufu ya kimamlaka.

Pia hawa Askari wa Gwaride walilazimishwa au ilikuwaje?

CCM msipuuzie hili, nchi iko chini ya Jeshi now, wamemnyima mamlaka yake kwa mkakati maalumu, ili wamtoe wakitaka... CCM jisafisheni haraka kabla jeshi halijawafuta...
Kutegemea jeshi ni sawa kuota ndoto unampiga pipe Beyonce kumbe uko zako Tandale kwa mtongole kwenye nyumba ya fullsuit ya bati
 
Mapungufu yametokana na mazingira ya uapisho yalivyo ila Kwa huyo mama kazi tunayo kama watanzania Kwa kipindi cha miaka mitano ijayo.....
 
Mbona kama Samia ameapishwa na Gwaride lenye mapungufu ya kimamlaka.

Pia hawa Askari wa Gwaride walilazimishwa au ilikuwaje?

CCM msipuuzie hili, nchi iko chini ya Jeshi now, wamemnyima mamlaka yake kwa mkakati maalumu, ili wamtoe wakitaka... CCM jisafisheni haraka kabla jeshi halijawafuta...
Ungeelezea hayo mapungufu Ili sisi tusiojua mambo ya jeshi tuelewe
 
Mbona kama Samia ameapishwa na Gwaride lenye mapungufu ya kimamlaka.

Pia hawa Askari wa Gwaride walilazimishwa au ilikuwaje?

CCM msipuuzie hili, nchi iko chini ya Jeshi now, wamemnyima mamlaka yake kwa mkakati maalumu, ili wamtoe wakitaka... CCM jisafisheni haraka kabla jeshi halijawafuta...

..sikumuona Cdf Mkunda.
 
Ungetuelezea hayo mapungufu ya kimamlaka ili tusio wanajeshi tufahamu
 
Mbona kama Samia ameapishwa na Gwaride lenye mapungufu ya kimamlaka.

Pia hawa Askari wa Gwaride walilazimishwa au ilikuwaje?

CCM msipuuzie hili, nchi iko chini ya Jeshi now, wamemnyima mamlaka yake kwa mkakati maalumu, ili wamtoe wakitaka... CCM jisafisheni haraka kabla jeshi halijawafuta...
Wanaapishwa ili iweje, kwa mfano? Hawa mazafakas hawajawahi kuviishi viapo in any meaningful way. Wanasigina Katiba yetu left and right, day in day out, with impunity.

Hizi mambo za kupotezea watu muda bila sababu ni utaahira at best!
 
Mbona kama Samia ameapishwa na Gwaride lenye mapungufu ya kimamlaka.

Pia hawa Askari wa Gwaride walilazimishwa au ilikuwaje?

CCM msipuuzie hili, nchi iko chini ya Jeshi now, wamemnyima mamlaka yake kwa mkakati maalumu, ili wamtoe wakitaka... CCM jisafisheni haraka kabla jeshi halijawafuta...
Kwa jeshi lipi?
Jeshi lili
 
Back
Top Bottom