Majok majok
JF-Expert Member
- Aug 3, 2023
- 619
- 1,570
Hizo point zitapatikana sema jingine! Maana mbumbumbu mmekomaa na yanga mnasahau yanga ndiyo timu Bora kuliko zote ukanda huu wa afrika MASHARIKI KWA Sasa sio timu ya ungaunga mwana Kama timu yenu, soka wanalicheza kokote pale aijalishi ugenini ama nyumbani ivyo mtulize mikebe yenu!Yanga sio tu anatakiwa kuifunga CRB kwa Mkapa, anatakiwa kwenda kutoa sare au kumfunga Ahly kule Misri, la sivyo ni out
Anahitaji pointi 4 kutoka hizi mechi mbili zilizobaki