Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,231
Kama wachezaji wazuri wanaondoka , timu haishiriki Champions League wala hakuna dalili ya kushiriki next year , haipiganii ubingwa wowote ule hata Ndondo Cup na juzi imefurumushwa na timu isiyo na daraja ya Nortingham Forest kwa kipigo kikali mithili ya Nyau aliyekunywa maziwa ya mtoto , ni mchezaji gani wa maana anaweza kuvutiwa na Arsenal ?
Nawapa pole sana mashabiki wa Timu hii , bado sijaelewa lengo la Arsenal kushiriki mashindano , je ni kuuza sura tu ?
Nawapa pole sana mashabiki wa Timu hii , bado sijaelewa lengo la Arsenal kushiriki mashindano , je ni kuuza sura tu ?