OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,128
- 24,065
Hello I miss you!!Hivo vipensi vinavyoishia juu ya magoti wanaume wa dar wanavivaa sana. Na chini wanavaa vile visendo vya adidas au Gucci.
Ila wanaume wa dar wana mapaja😂😂😂paja paja.