0ozg Tz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 4,159
- 11,100
Hili liliwahi kutukuta kwenye mashine ya kutengeneza ice cream au mabonge ya barafu,aisee ilikuwa inakamua umeme hatari,kwa siku inaweza kula umeme wa 10,000Vijana mkiwa mnahitaji mashine za ku watoa zingatieni haya:
*Kodi ya Import duty
*Spare au vipuri vya machine
*Power consumption yake
*Production rate ukiliganisha na soko
*Technology na mafundi wa hizo machines.
Watu wengi wameimport machine ila zimewashida kitumia either gharama yake ya oparation iko juu au ni outdated Technology au kukosa spare zake,
nina machine moja GTO 52 ila fundi wake na msafirisha kutoka mbali kweli kweli.