Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 21,841
- 38,736
Kwani tangu lini January amekuwa Muislamu?Usije kumfanya January haanze kutembea na biblia na kwenda kanisani!!
Bila kusahau aendele kutukumbusha mara kwa mara alisoma chuo cha kikristo!!
Upande "ULE" unamaanisha ni upi boss, maana kama ni ndugu zetu wale tunaowafata kwa boti sasa hivi ndio wameishika nchi, au unamaanisha "upande ule" wa kiimani?Binafsi ningependa kumuona "Prince" anayeongoza visiwani kuja kushika nchiMkuu britanicca , kiukweli nimecheka hiyo ya nyumba nyeupe mfano wa meli. Ila kuhusu 2030, kwa vile urais wa JMT ni zamu kwa zamu, 2030 itakuwa ni zamu ya upande ule hivyo sio January, ila
2030 kuna kitu nilisema....https://www.jamiiforums.com/threads/uchaguzi-mkuu-wa-mwaka-2030-ndio-mwanzo-wa-mwisho-wa-ccm-wajinga-karibu-wote-watakuwa-wamemalizika.1401652/
Na January pia namkubali sana...
January Makamba, very intelligent, humble, down-to-earth! Can make the best President
Watch Clouds 360 Degrees Live , January Makamba yuko Live. January Makamba, akiongea, anaonekana yuko very intelligent upstairs kwa sababu anaonyesha ana think kabla ya kuongea. Kuna baadhi ya viongozi wetu, I doubts kama wana think kabla hawajaongea ndio maana kiwango cha upayukaji kwa awamu...www.jamiiforums.com
P
Wajinga ni wazazi wako waliotuleta takataka wewe hapa duniani. Huna adabu kabisa.Chadema walivyo wajinga utashangaa Mgombea wao ni Makonda
Mimi ni Mkristo ila hii nchi bora wawe wanaongoza wa upande huo mwingine maana sijui kwanini sisi huwa tunambatana na roho ngumu sana.2030 ni zamu ya mkristo,msitake kutuchanganya ,mtaleta Vita
USSR
hakuna jipyaMwaka 2030 January Makamba ni mgombea wa CCM!!! Sijasema atakuwa raisi maana kazi itakuwa ngumu kutokana na kwamba tutakuwa na Katiba Mpya ambayo italeta ugumu kwa CCM !!!! Mheshimiwa Polepole ataleta upinzani maana ashaanza kuwakamata akili baadhi ya wa maono Kama yeye na ataleta ushindani ndani ya Chama huku akishindwa anaelekea Chama Kitakachokuwa na Upinzani Mkubwa na si lazima iwe Chadema kinaweza kuibuka kingine maana kwenye siasa lolote laweza tokea japo Bado imani inaendelea kuniaminisha kwamba Chadema itasimama Imara japo kuna mengi hapa kati kati!!!!!
Wakati huo wapiga Zumari Kina Kigogo wa Twitter na Kimambi wa Instagram watakuwa hawana ushawishi Mkubwa Sana kivileee!!!
CCM itapasuka na wakiangalia vibaya kwenye kamchakato ka kuwapitisha wagombea Kuna kundi la wachungaji wa ng’ombe USUKUMANIII litaleta ushindani Mkubwa kwa Kundi la Watoto wa Maji ya Chumvi (karibu na Mujini Darusalaamu)
Kipindi hicho wachambuzi Manguli wa hapa Jamiiforums Kama tindo Kalamu1 The Boss Nyani Ngabu watakuwa wamejichokea na saa nyingine kujitojeza hadharani kwamba sisi ndo Kina fulani
Sina uhakika Kama Pascal Mayalla atakuwa Bado anachambua na kuleta nyepesi za kule jengo jeupe mithiri ya Meli ambako wanaingia Kwa majina maalumu na simu wanazima wanaitana chief ukijichanganya ukaenda kumuuluzia ijumaa aga kabisa kwenu mana unaweza kutoka Jumatatu!!!
Kanisa la mchungaji Gwajima litakuwa ndo basi tena watakuwa wameshaanza kujitokeza waumini wake kusema yasiyo sahihi huku tukiwa midomo wazi…mwaka 2025 Ubgunge anaweza asipate tena ..
Hapo sasa ndo tutaona Tanzania yenye kuheshimiana kidogo maana itakuwa ni uchaguzi wa kwanza chini ya Tume huru na KATIBA Mpya
Britanicca
Kwani tangu lini January amekuwa Muislamu?
Makamba kama atafanikiwa kumaliza tatizo la Tanesco na watanzania wakapata umeme wa uhakika na gharama nafuu ndipo atakuwa na uhakika 2030 kuwa mgombea wa CCMMwaka 2030 January Makamba ni mgombea wa CCM!!! Sijasema atakuwa raisi maana kazi itakuwa ngumu kutokana na kwamba tutakuwa na Katiba Mpya ambayo italeta ugumu kwa CCM !!!! Mheshimiwa Polepole ataleta upinzani maana ashaanza kuwakamata akili baadhi ya wa maono Kama yeye na ataleta ushindani ndani ya Chama huku akishindwa anaelekea Chama Kitakachokuwa na Upinzani Mkubwa na si lazima iwe Chadema kinaweza kuibuka kingine maana kwenye siasa lolote laweza tokea japo Bado imani inaendelea kuniaminisha kwamba Chadema itasimama Imara japo kuna mengi hapa kati kati!!!!!
Wakati huo wapiga Zumari Kina Kigogo wa Twitter na Kimambi wa Instagram watakuwa hawana ushawishi Mkubwa Sana kivileee!!!
CCM itapasuka na wakiangalia vibaya kwenye kamchakato ka kuwapitisha wagombea Kuna kundi la wachungaji wa ng’ombe USUKUMANIII litaleta ushindani Mkubwa kwa Kundi la Watoto wa Maji ya Chumvi (karibu na Mujini Darusalaamu)
Kipindi hicho wachambuzi Manguli wa hapa Jamiiforums Kama tindo Kalamu1 The Boss Nyani Ngabu watakuwa wamejichokea na saa nyingine kujitojeza hadharani kwamba sisi ndo Kina fulani
Sina uhakika Kama Pascal Mayalla atakuwa Bado anachambua na kuleta nyepesi za kule jengo jeupe mithiri ya Meli ambako wanaingia Kwa majina maalumu na simu wanazima wanaitana chief ukijichanganya ukaenda kumuuluzia ijumaa aga kabisa kwenu mana unaweza kutoka Jumatatu!!!
Kanisa la mchungaji Gwajima litakuwa ndo basi tena watakuwa wameshaanza kujitokeza waumini wake kusema yasiyo sahihi huku tukiwa midomo wazi…mwaka 2025 Ubgunge anaweza asipate tena ..
Hapo sasa ndo tutaona Tanzania yenye kuheshimiana kidogo maana itakuwa ni uchaguzi wa kwanza chini ya Tume huru na KATIBA Mpya
Britanicca
Kwani hujui utaratibu wa CCM na wanamtandao wa urais na madaraka na wapigaji nchi hii, wanafikiriaga kwa patterns ya miaka mitano mitano ili wapige na ndio maana you will never see anywhere zile sijui the big agenda, MKUKUTA, MKURABiTA, vision 2025 na the likes zikifanikiwa. Never sababu ni kuwa hatuna viongozi wenye uwezo wa kufikiria in long term, ni mitano mitano.Yaani badala ya kuwaza nchi itakua imepiga hatua gani kwenye upande wa maendeleo ya watu na vitu ifikapo hiyo 2030, sisi bado tunawaza nani atakuwa Rais!!
Kwa hali hii wacha tu tuendelee kusindikiza wenzetu. Maana hakuna namna.
Mwaka 2030 January Makamba ni mgombea wa CCM!!! Sijasema atakuwa raisi maana kazi itakuwa ngumu kutokana na kwamba tutakuwa na Katiba Mpya ambayo italeta ugumu kwa CCM !!!! Mheshimiwa Polepole ataleta upinzani maana ashaanza kuwakamata akili baadhi ya wa maono Kama yeye na ataleta ushindani ndani ya Chama huku akishindwa anaelekea Chama Kitakachokuwa na Upinzani Mkubwa na si lazima iwe Chadema kinaweza kuibuka kingine maana kwenye siasa lolote laweza tokea japo Bado imani inaendelea kuniaminisha kwamba Chadema itasimama Imara japo kuna mengi hapa kati kati!!!!!
Wakati huo wapiga Zumari Kina Kigogo wa Twitter na Kimambi wa Instagram watakuwa hawana ushawishi Mkubwa Sana kivileee!!!
CCM itapasuka na wakiangalia vibaya kwenye kamchakato ka kuwapitisha wagombea Kuna kundi la wachungaji wa ng’ombe USUKUMANIII litaleta ushindani Mkubwa kwa Kundi la Watoto wa Maji ya Chumvi (karibu na Mujini Darusalaamu)
Kipindi hicho wachambuzi Manguli wa hapa Jamiiforums Kama tindo Kalamu1 The Boss Nyani Ngabu watakuwa wamejichokea na saa nyingine kujitojeza hadharani kwamba sisi ndo Kina fulani
Sina uhakika Kama Pascal Mayalla atakuwa Bado anachambua na kuleta nyepesi za kule jengo jeupe mithiri ya Meli ambako wanaingia Kwa majina maalumu na simu wanazima wanaitana chief ukijichanganya ukaenda kumuuluzia ijumaa aga kabisa kwenu mana unaweza kutoka Jumatatu!!!
Kanisa la mchungaji Gwajima litakuwa ndo basi tena watakuwa wameshaanza kujitokeza waumini wake kusema yasiyo sahihi huku tukiwa midomo wazi…mwaka 2025 Ubgunge anaweza asipate tena ..
Hapo sasa ndo tutaona Tanzania yenye kuheshimiana kidogo maana itakuwa ni uchaguzi wa kwanza chini ya Tume huru na KATIBA Mpya
Britanicca
Akitoka mama anatakiwa aingie mkatoliki. Labda kama mna hamu ya damu.
Na vip ambao walimuona magufuli alifaa kuwa rais unawachukuliajeWatu wanaomwona Januari anakili ya kuwa Rais nawadharau sana!
Mkuu hii ni kujifariji tu.Utabiri wako umekosea kidogo sana..
January Makamba atagombea 2025 atakuwa madarakani kwa 5yrs kama Mwenyezi Mungu atatujalia uhai... Mama mwisho wake 2025, its planned ila amejaribu kuwapoteza watu maboya kwa kurusha ndoano ya 2025 (its fake candidate - this is normal JK startegy) hapo kuna watu wameshapotezwa watapambana na Mama kama walivyopambana na Membe then finally inakula kwao..
Kwa nini unawadharau?Watu wanaomwona Januari anakili ya kuwa Rais nawadharau sana!
Labda ukawaulize kitengoni pale kwanini wanaliogopa Baraza la Maaskofu Wakatoliki.Na kwanini yasiwe madhehebu mengine kama walutheri???
Wakatoliki kama Mkapa au Magufuli wameprove failure
Kama nchi imeshaongozwa na watu wenye vyeti/file Milembe itashindwaje kuongozwa na Januar.Watu wanaomwona Januari anakili ya kuwa Rais nawadharau sana!
Mkuu hii ni kujifariji tu.
Mama anatoboa mpaka 2030. Halafu anaweza kuitisha mchakato wa katiba karibia 2030!!
January ana ubavu wa kupambana na Mama. Hata hawa kina Polepole watashungulikiwa kimya kimya mpaka ukifika wakati wa uchaguzi watakuwa wanapumulia mashine!!