Sitta: Bunge lijalo linatisha ,Asema limesheheni watu makini
Bungelijalo ninavyoliona mimi, litakuwa Bunge la kutisha, maana lina vijana na watumachachari, ukisoma majina yao utaona kabisa kwamba ni watu makini na nitishio, hivyo natamani kuwa spika wa Bunge hilo ili nikabiliane na changamotozitakazojitokeza,
Bungelijalo ninavyoliona mimi, litakuwa Bunge la kutisha, maana lina vijana na watumachachari, ukisoma majina yao utaona kabisa kwamba ni watu makini na nitishio, hivyo natamani kuwa spika wa Bunge hilo ili nikabiliane na changamotozitakazojitokeza,