chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 12,017
- 20,695
"I can't breath" ni kauli aliyoitoa George Floyd wakati askari mmoja huko marekani alipomkamata na askari huyo kuweka goti lake katika shingo ya George Floyd, jambo lililosababisha akose hewa kisha kufariki.
Naipa kauli hiyo muktadha wa kitanzania kisiasa.
Ni mambo gani ambayo yanafanya "tushindwe kupumua" kutokana na goti la CCM katika shingo zetu?
Demokrasia?
Bunge laivu?
Utawala wa sheria?
Au maendeleo yanaenda kwa kasi kubwa kiasi kwamba wapinzani hawawezi tena ku-breath katika ulingo wa siasa?
Naipa kauli hiyo muktadha wa kitanzania kisiasa.
Ni mambo gani ambayo yanafanya "tushindwe kupumua" kutokana na goti la CCM katika shingo zetu?
Demokrasia?
Bunge laivu?
Utawala wa sheria?
Au maendeleo yanaenda kwa kasi kubwa kiasi kwamba wapinzani hawawezi tena ku-breath katika ulingo wa siasa?