Azoge Ze Blind Baga
JF-Expert Member
- Mar 8, 2019
- 366
- 1,378
Hicho umeweka kwenye hiyo profile pic yako ni ki nini?Hivi hawa wanaume wenzetu wanaoendaga studio kufanya photoshoot na kuzitupia mtandaoni wako sawa kweli kiuanaume
Dume zima linaenda studio kupiga picha eti apost siku ya birthday yake huo ni umama pro max
Wengine sasa wameamua nao watumie photo lab kama wadada. Mnatuaibisha wanaume wenzenu.
Afu kweli hicho kidude alichokiweka kwenye avatar yake hakiendani na mfumo wa mwanaumeHicho umeweka kwenye hiyo profile pic yako ni ki nini?
Mbona mimi ninayo nawekea vyeti katika draw zake..saa,viwembe,chaji,airphone, vitu vidogovidogo kama coins n.k1. Wanaume wa siku hizi wana hadi dressing Table magethoni.
2. Mimi hata kioo cha miatano ndani sina, labda nikienda salon.
Imekusaidia nini kwenye kutengeneza hela?1. Wanaume wa siku hizi wana hadi dressing Table magethoni.
2. Mimi hata kioo cha miatano ndani sina, labda nikienda salon.
Watafika mahali watakutana na wenzao wana waambia hizo kazi zao zote za maofisini, viwandani na kuendesha mitambo ni umama tu, mwanaume anatakiwa afanye kazi kama hizi.Mara mwanaume asile chips
Mara Asiwe na dressing table
Mara ice cream pia marufuku...
Mara wali pia marufuku..
Hayaishi manake
Hivi hawa wanaume wenzetu wanaoendaga studio kufanya photoshoot na kuzitupia mtandaoni wako sawa kweli kiuanaume
Dume zima linaenda studio kupiga picha eti apost siku ya birthday yake huo ni umama pro max
Wengine sasa wameamua nao watumie photo lab kama wadada. Mnatuaibisha wanaume wenzenu.
Sio kama napingqna na mleta mada ila wanaume tunajiwekea vikwazo vingi ndio maaana tunakufa haraka tukiwa bado vijanaHivi hawa wanaume wenzetu wanaoendaga studio kufanya photoshoot na kuzitupia mtandaoni wako sawa kweli kiuanaume
Dume zima linaenda studio kupiga picha eti apost siku ya birthday yake huo ni umama pro max
Wengine sasa wameamua nao watumie photo lab kama wadada. Mnatuaibisha wanaume wenzenu.
Maisha tunayafanya yawe magum sisi wenyeweMara mwanaume asile chips
Mara Asiwe na dressing table
Mara ice cream pia marufuku...
Mara wali pia marufuku..
Hayaishi manake