GE2025 Ni Makonda vs Mrisho Gambo Arusha Mjini patachimbika bila jembe

GE2025 Ni Makonda vs Mrisho Gambo Arusha Mjini patachimbika bila jembe

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

The Zanzibar Echo

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2025
Posts
490
Reaction score
836
Mimi kwa uchunguzi wangu mdogo nilioufanya Makonda anaenda kupita mwisho pale bungeni atapewa uwazir wa aina yoyote kama sio uwaziri mkuu mana Majaaliwa kwa za ndani ameshatolewa kwenye mfumo msisahau MAKONDA ndio mtu aliepndeekeza Samia we mgombea mweza wa Magufuli 2015 kwaio mama anahisi bado ana deni kwa MAKONDA
 
Patachimbika au pamekwisha chimbika,
Watu hawapati usingi na mpaka haki zingine za kibinadamu zimepewa likizo
 
Duuuu Kwa hyo n mwendo wakulipana fadhilaaa au cyooo...yaan mtu anapewa cheo kisa tu alifanya kitu Kwa mama 🤔🤔🤔

CCM mwisho wenu utakuwa n wakulia na kusaga meno one day
 
Mimi kwa uchunguzi wangu mdogo nilioufanya Makonda anaenda kupita mwisho pale bungeni atapewa uwazir wa aina yoyote kama sio uwaziri mkuu mana Majaaliwa kwa za ndani ameshatolewa kwenye mfumo msisahau MAKONDA ndio mtu aliepndeekeza Samia we mgombea mweza wa Magufuli 2015 kwaio mama anahisi bado ana deni kwa MAKONDA
Sababu sio Makonda kumpendekeza samia, Makonda ni mtu anaefanya bila kuuliza maswali. Na CCM ndio inahitaji watu kama hao. Ndani ya uongozi wa makonda Kuna wanyama wa serengeti waliuzwa na wamasai walifukuzwa serengeti na maeneo yao kupewa wawekezaji yeye alifanikisha hayo. Huyu kijana hastahili kuwa kiongozi kwa maslahi ya wananchi. Lakini kwa maslahi ya Rais anafaa sana maana ukimpa order anaitekeleza haraka sana. Kijana alitumwa amzabe vibao Jaji Warioba.(Enzi za Kikwete) Kijana alitumwa kusema kiongozi wa upinzani ni mfanyabiashara wa madawa ya kulevya.(Enzi za Magufuli) Huyu kijana atakuja kuteuliwa hadi na Rais ajaye baaada ya Samia. In short ukiona Makonda ameteuliwa jua kuna mambo yanatakiwa yafanyiken bila kuhoji na hio serikali haina maslahoi mapana ya nchi bali kujaza matumbo yao wenyewe.
 
Back
Top Bottom