Ni mahafali ya binti yangu


Naomba namba ya binti yako nimpongeze
 
Shindwa!
 
I think ulikuwa unamaanisha Mahafari yanafanyika Chuo Cha Taifa cha Usafirishaji ( NIT) kilichopo mabibo na siyo Chuo cha Usafirishaji cha Ubungo.
Ni sawa, si unajuwa tena i am old enough kujuwa hivi vitu.
 
Asanteni sana kwa mlionipa hongera,
Mungu awabariki sana;
Kweli kama siyo Mungu sijui hata ingekuwaje.
Asanteni wote,
 
Hongera kwa Binti na kwako Mamndenyi kwa kumkuza na yote.

Mola azidi kuwabariki na kuwamwagia Baraka tele tele.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…