witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,710
- 47,099
Kumbe unajua? Mbona unazinguaga sasa??Yes lazima uwe muoga kwa gari yako otherwise gari litanyonya uchafu na kuharibu fuel pump. ingawa kwenye dharura unaweza kupotezea ki mtindo.
Kumbe unajua? Mbona unazinguaga sasa??Yes lazima uwe muoga kwa gari yako otherwise gari litanyonya uchafu na kuharibu fuel pump. ingawa kwenye dharura unaweza kupotezea ki mtindo.
Duuh kumbe nisiwe napanick ...50 nyingi sana
Kumbe unajua? Mbona unazinguaga sasa??
...kopo la njano naliogopa aseeWe ndo unazingua hata robo tank tu unaanza kuchachawa.
Kwenye mapigo yako ya moyoSisi wa baiskeli blink inakuwa wapi?
Kwenye kijambio chakoSisi wa baiskeli blink inakuwa wapi?
Mahole ana hole kubwa!Kwenye kijambio chako
Hole lipo ila kwenye kikojoleo changu aka mshededeMahole ana hole kubwa!