It’s likey gar itazima tu, the reason why inablink hiyo sign ni kwamba lile boya kule chini linakuwalimeshavukwa na mafuta,asante kwa ushaur je kuna warning nyingine ntaiona let say imebaki lita moja au knachofata ni gari kuzima tuu?
Warning inayofata ni kuingia shell tu mzee babaasante kwa ushaur je kuna warning nyingine ntaiona let say imebaki lita moja au knachofata ni gari kuzima tuu?
Duuh kumbe nisiwe napanick ...50 nyingi sanaMimi najua ni maili 50 kuanzia taa inapowaka
Nna Gx 110,mara kadhaa imewasha taa nikiwa safarini kwa uzoefu inatembea kama 80km hiv mbele na average consumption ni 10km per litre nikiwa highway,kwa maana hiyo kwa gar hii ni km litre 8 hivi zinakuwa zimebaki.Kwa Toyota navyojua mimi inakuwaga na litres 4 za reserve baada ya taa kuwaka!
Nadhani ni kutegemeana na ujazo wa cylinder ila kwa gari ndogo za Toyota za 1.8cc na kushuka huwa ni kama litres 4.5 litres ulaya wanaita gallon 1! Hivyo kwa 6 cylinder nadhani ni kama litres 9 ambayo ni mara mbili yake!Nna Gx 110,mara kadhaa imewasha taa nikiwa safarini kwa uzoefu inatembea kama 80km hiv mbele na average consumption ni 10km per litre nikiwa highway,kwa maana hiyo kwa gar hii ni km litre 8 hivi zinakuwa zimebaki.
Asante kwa elimu mkuu!Nadhani ni kutegemeana na ujazo wa cylinder ila kwa gari ndogo za Toyota za 1.8cc na kushuka huwa ni kama litres 4.5 litres ulaya wanaita gallon 1! Hivyo kwa 6 cylinder nadhani ni kama litres 9 ambayo ni mara mbili yake!
Sana mkuu....muoga mnoohahahaha kwan huwa unapanic mkuu
Sana mkuu....muoga mnoo
Yangu tokea taa iwake inatembea 65 km...Mimi najua ni maili 50 kuanzia taa inapowaka
KiunoniSisi wa baiskeli blink inakuwa wapi?
Bado sanaYangu tokea taa iwake inatembea 65 km...