Alejandroz
JF-Expert Member
- Feb 14, 2017
- 327
- 376
Habari wajasiliamali wenzangu,
Mimi ni mjasiliamali mdogo ambaye mwaka huu nilitaka nijikite katika kilimo cha mahindi pamoja kununua zao hilo.
Nimeshalima heka 5 na zinaendelea vizuri hadi sasa na nimeandaa bajeti kwaajili yakuongezea mahindi yakununua ili niyahifadhi kwa pamoja hadi bei itakapo kua yakuridhisha.
Lakini nimesikia kua Mh rais ametangaza kua mwaka huu 2020 mahindi yatazuiliwa kutoka nje ya nchi kwasababu ya uhaba wa chakula unaotazamiwa kutokea hapo baadae.
Kwakawaida hatua hii huwa inasababisha bei kuwa ya chini sana,, Nilikua naomba kujuzwa ni kwa jinsi gani kupungua hku kwa bei hutokea (hata kama ndani ya nchi kuna uhaba wa chakula) na pia nawezaje kuepuka au kupunguza madhara haya!
Nawasilisha.
Mimi ni mjasiliamali mdogo ambaye mwaka huu nilitaka nijikite katika kilimo cha mahindi pamoja kununua zao hilo.
Nimeshalima heka 5 na zinaendelea vizuri hadi sasa na nimeandaa bajeti kwaajili yakuongezea mahindi yakununua ili niyahifadhi kwa pamoja hadi bei itakapo kua yakuridhisha.
Lakini nimesikia kua Mh rais ametangaza kua mwaka huu 2020 mahindi yatazuiliwa kutoka nje ya nchi kwasababu ya uhaba wa chakula unaotazamiwa kutokea hapo baadae.
Kwakawaida hatua hii huwa inasababisha bei kuwa ya chini sana,, Nilikua naomba kujuzwa ni kwa jinsi gani kupungua hku kwa bei hutokea (hata kama ndani ya nchi kuna uhaba wa chakula) na pia nawezaje kuepuka au kupunguza madhara haya!
Nawasilisha.