Ni madhara gani nchi ya Iran itayapata baada ya jeshi lake "IRGC" kuingizwa kwenye orodha ya magaidi na Marekani ??

dogo soma kichwa cha habari kinasema nini kabla ya kurupuka tu.

Sa hebu we tuambie mwenye akili madhara gani Irani tokea USA kuiweka IRGC kwenye black list yake kayapata?

Au IRGC anafanya biashara gani na babu yako USA au Taifa teule la vichaa. Mpaa awe anawasi wasi nao, wamuweke kwenye kundi la magaidi au wasimuweke amekula hasara gani? China,Urusi, na karibu nchi zote mbona wana wapokea hao macommandor wa IRGC na wanawaheshimu na wanafanya biashara nao kama kawaida.

Nipe we nchi ngapi zime waweka IRGC katika kundi la magiadi, nikusema akili mali unabisha. Ungekuwa unazo usingebisha.
Hapo mimi na wewe tulishaachana kitambo na kichwa cha habari. Hapo tunazungumzia sana jinsi usivyojua kuwasirisha. Unaruka ruka. Mwanzo pale umesema kila nchi iko upande wa iran kasoro USA na Israel tu. Nikakukatalia. Ukaruka ukaja akili halafu ukachomekea Tanzania na Rwanda. Huku mwisho sasa umekuja na utumbo mwingine ambao mimi sijauzungumzia kabisa. Nilichokukatalia ni kitu kimoja tu ulichoongea pale mwanzo. Lakini ninachokiona kwako unapanick bila sababu. Utakufa pressure bure mkuu. Siku zote hakuna ataekubaliana na mawazo yako tu
 
Hapo mimi na wewe tulishaachana kitambo na kichwa cha habari. Hapo tunazungumzia sana jinsi usivyojua kuwasirisha. Unaruka ruka. Mwanzo pale umesema kila nchi iko upande wa iran kasoro USA na Israel tu. Nikakukatalia. Ukaruka ukaja akili halafu ukachomekea Tanzania na Rwanda. Huku mwisho sasa umekuja na utumbo mwingine ambao mimi sijauzungumzia kabisa. Nilichokukatalia ni kitu kimoja tu ulichoongea pale mwanzo. Lakini ninachokiona kwako unapanick bila sababu. Utakufa pressure bure mkuu. Siku zote hakuna ataekubaliana na mawazo yako tu
Hahaha mimi naongelea dunia nzima haikuwaweka IRGC kwenye ugaidi isipokuwa USA na shoga yake tu.

Yani dunia nzima iko upande wa Iran sa kosa liko wapi.

Hakuna nchi duniani inaweza kukubali jeshi lake la nchi litwe magaidi, nani aliye kubalina na USA zaidi ya shoga yake Israel

Wewe.ndio una panic na hujui watu wanaongelea kitu gani.

Kuleta Tanzania na Rwanda nikukupa mfano hata Tanzania na Rwanda wawe upande wa USA, ujuwe Iran hana biashara nao si kisalaha au mafunzo ya kijeshi.

Iran ana deal na nchi anazo zitaka yeye ndio sababu unaona hakuna sunction ya USA imemdhuru Iran.
 
Kitendo cha marekani kuendelea kuisakama Iran kunaifanya Iran izmidi kujiimalisha kila kukicha na jinsi Iran inavyo imarika ndiyo inakuwa ngumu marekani kuvamia Iran,na kadiri marekani anavyo chelewa kuivamia na kuiangusha Iran ndivyo Iran inazidi kuwa taifa lilsilo dhibitiwa kivyovyote vile.Ninawahakikishia Iran ikija kufanikiwa kutengeneza Silaa za nukilia Marekani itapata tabu sasa hapo mashariki ya kati, maana itafanya inavyo taka na hakuna atakaye dhubutu kukoroma.Sasa hivi Iran licha ya kujitutumua lakini ina woga Fulani kwa marekani hilo ni lazima tuwe wakweli .
Mzee unavyohisi iran angekua hana atomic bombs angeitolea wapi hii jeuri wajarb kuingiza mguu ndio wata elewa kama kuna nuclear ama hakna
 
Wairani Ni wabishi Sana! Cjui kwanini.kna huyu wanamwita general suleiman Ni kiongozi wa opresheni za nje za IRGC. KUTtokea kule Afghanistan, Iraq, Lebanon mpaka Syria.
Cha ajabu Ni kwamba huko kote wairani huwachafua vibaya isis na wengine..

Sent using Jamii Forums mobile app
... washamlamba kichwa; yuko kaburini kapumzika saa hizi.
 
UPDATES:
JANUARY 7, 2020.

Iranian MPs declare all of US military ‘terrorist entity’ after General Soleimani killing


The US Armed Forces are now regarded as a terrorist organization under an urgent motion by Iranian lawmakers, who earlier branded the assassination of the Quds Force commander “state-sponsored terrorism,” state media report.

Iranian MPs adopted a bill on Tuesday calling “personnel of the Pentagon, all affiliated companies, institutions, agents and commanders” members of a “terrorist entity,”local media reported.

The bill amends and expands previous legislation which gave a similar designation to US Central Command (CENTCOM). Initiated in April of last year, it was a tit-for-tat response to Washington’s blacklisting of the Islamic Revolutionary Guards Corps (IRGC).

Source: Russia Today

Points of concern:
This Afternoon, the Iranian Legislature has reciprocated the American act, by designating the entire US Armed Forces as a terrorist organisation. Down this path, all American military personnel, including top ranking officials are now potential targets without being accorded any protection emanating from the Geneva Conventions on the law of War and it's Additional Protocols.

This means, both Iran and the US can resort to means and methods of Warfare not acceptable under International law and the Community of Nations: This reminds of me of what Cicero said to Quintus "At the times of war, the law falls silent"
 
Back
Top Bottom