Ni madhara gani nchi ya Iran itayapata baada ya jeshi lake "IRGC" kuingizwa kwenye orodha ya magaidi na Marekani ??

Ikija kutokea vita hii kama mrusi hataingilia basi ulimwengu wetu utasalimika, ila kutafunguka ukurasa mpya hapo mashariki ya kati. Nina uhakika Iran atapewa silaha na Mrusi wazitwange vizuri na hao NATO na kama itatokea hii vita na kutakuwa na umwagaji mkubwa sana wa damu hapo mashariki ya kati

Ni ama Iran itabaki au itaondoka, na kama itabaki itaenea vita kubwa sana Afrika ya kaskazini na uarabuni vita vikubwa sana sababu Iran ana kambi ya nchi za kiarabu zinazompa Support na Saudi Arabia pia ana kambi kubwa sana ya nchi za kiarabu na Ulimwengu wa kiislam nyuma yake
 
Licha ya kwamba haina hizo silaa lakini INA sila

Kiburi cha Iran kinatokana na uwezo wa makombora alionao kwa sababu kambi zote za marekani zilizoko mashariki ya kati na ulaya zipo kwenye shabaha yake. Kwahiyo viongozi was Iran wanajua kabisa ya kwamba nilazima marekani ijishauli mara mbili linapo kuja suala la kuivamia Iran, lakini pia Iran ina mtandao mkubwa sana wa wapiganaji kwenye nchi mbalimbali hapo mashariki ya kati kwaa hiyo Iran ina uwezo wa kuivuruga Mashariki ya kati yote.
Endelea kujidanganya, hata Saddam nae alikuwa na uwezo wa kuzifikia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ikija kutokea vita hii kama mrusi hataingilia basi ulimwengu wetu utasalimika, ila kutafunguka ukurasa mpya hapo mashariki ya kati. Nina uhakika Iran atapewa silaha na Mrusi wazitwange vizuri na hao NATO na kama itatokea hii vita na kutakuwa na umwagaji mkubwa sana wa damu hapo mashariki ya kati

Ni ama Iran itabaki au itaondoka, na kama itabaki itaenea vita kubwa sana Afrika ya kaskazini na uarabuni vita vikubwa sana sababu Iran ana kambi ya nchi za kiarabu zinazompa Support na Saudi Arabia pia ana kambi kubwa sana ya nchi za kiarabu na Ulimwengu wa kiislam nyuma yake
Warusi sio wajinga kama unavyodhani hawezi kuingiria vita ya Iran na USA

Sent using my iPhone using jamiiforum app
 
ANAEJUA KUWA IRAN HANA NYUKLIA AU ANAZO NI MAREKANI COZ MAREKANI HII NINAYOIJUA MM NA INAYOTAMBULIKA DUNIANI KWA KUINGILIA NCHI NYENGINE KIJESHI ISINGEKUA INABWEKABWEKA TU NA HAIFANYI UINGILIAJI WAKE
Sent using Jamii Forums mobile app
strategy ya marekani ni kutumia nchi za kiarabu kuishambulia iran,ndo maana marekani anaunga mkono kuundwa kwa arab NATO inayoiywa Middle East Strategy Alliance(MESA),juzi misri imejitoa kwenye huo mpango,na hata pakistan itajitoa tu baada ya kuonekana marekani ndo wanataka wawe na ushawishi kwenye huo umoja
 
ANAEJUA KUWA IRAN HANA NYUKLIA AU ANAZO NI MAREKANI COZ MAREKANI HII NINAYOIJUA MM NA INAYOTAMBULIKA DUNIANI KWA KUINGILIA NCHI NYENGINE KIJESHI ISINGEKUA INABWEKABWEKA TU NA HAIFANYI UINGILIAJI WAKE

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo umepigilia point isiyo kuwa na ubishi, kumbuka Obama alikuwa clever kuwazuia wasimiliki nuclear.
Mimi conclusion yangu inasema hivi if Iran pulls out of the 2015 multilateral nuclear deal that U.S. President Donald Trump has already abandoned, ujue alisha wapa chance Iran wawe nazo. Na Iran ndio alicho kuwa anakitafuta sababu wakati wa Obama alichezewa kete na Obama, ili aingie kwenye mkataba huo na yeye alikuwa hautaki tokea mwanzo. Kuingia mkataba ni sababu dunia nzima ilikuwa against naye kwa sasa dunia nzima iko ipande wake isipokuwa ni USA na Israel tu ndio hawako naye.
 
Hapo umepigilia point isiyo kuwa na ubishi, kumbuka Obama alikuwa clever kuwazuia wasimiliki nuclear.
Mimi conclusion yangu inasema hivi if Iran pulls out of the 2015 multilateral nuclear deal that U.S. President Donald Trump has already abandoned, ujue alisha wapa chance Iran wawe nazo. Na Iran ndio alicho kuwa anakitafuta sababu wakati wa Obama alichezewa kete na Obama, ili aingie kwenye mkataba huo na yeye alikuwa hautaki tokea mwanzo. Kuingia mkataba ni sababu dunia nzima ilikuwa against naye kwa sasa dunia nzima iko ipande wake isipokuwa ni USA na Israel tu ndio hawako naye.
Dunia nzima ?????? Wako naye ?????
Who ???? Why?????? What for?????

Mie siko naye !!
 
ile wairan kutoboa meli za mafuta za Saudia na wenzake iliwashitua kwa sasa wameamua kurudi nyuma!!
 
Hapo umepigilia point isiyo kuwa na ubishi, kumbuka Obama alikuwa clever kuwazuia wasimiliki nuclear.
Mimi conclusion yangu inasema hivi if Iran pulls out of the 2015 multilateral nuclear deal that U.S. President Donald Trump has already abandoned, ujue alisha wapa chance Iran wawe nazo. Na Iran ndio alicho kuwa anakitafuta sababu wakati wa Obama alichezewa kete na Obama, ili aingie kwenye mkataba huo na yeye alikuwa hautaki tokea mwanzo. Kuingia mkataba ni sababu dunia nzima ilikuwa against naye kwa sasa dunia nzima iko ipande wake isipokuwa ni USA na Israel tu ndio hawako naye.
Humu kuna vibomu vimo vingi vya kudanganyana. Nani amekudanganya kwamba dunia nzima iko upande wa iran,isipokuwa marekani na Israel tu?
 
ile wairan kutoboa meli za mafuta za Saudia na wenzake iliwashitua kwa sasa wameamua kurudi nyuma!!
Aliye toboa si Iran ni USA na Israel, walikuwa wanadhani kufanya vile ndio wamepata sababu ya kumpiga Iran. Walipo piga daribini zao wakona Iran ana silaha ambazo walikuwa hawakutegemea wakashindwa anzisha vita.
 
Lazima utumie akili sometimes hapo naongelea nchi zenye uwezo wa kufanya biashara na Iran, Tanzania inahusika nini hapo au Rwanda. Akili mali sana.
Kwa hiyo umejiona huna akili mwenyewe? Rudia kusoma uzi wako. Halafu nani ameiigiza Rwanda na Tanzania hapo? Umeuliza mwisho Tanzania inahusika nini hapo au Rwanda. Yaani unaruka ruka tu. Kama unaongea hewa hivi
 
Kwa hiyo umejiona huna akili mwenyewe? Rudia kusoma uzi wako. Halafu nani ameiigiza Rwanda na Tanzania hapo? Umeuliza mwisho Tanzania inahusika nini hapo au Rwanda. Yaani unaruka ruka tu. Kama unaongea hewa hivi
dogo soma kichwa cha habari kinasema nini kabla ya kurupuka tu.

Sa hebu we tuambie mwenye akili madhara gani Irani tokea USA kuiweka IRGC kwenye black list yake kayapata?

Au IRGC anafanya biashara gani na babu yako USA au Taifa teule la vichaa. Mpaa awe anawasi wasi nao, wamuweke kwenye kundi la magaidi au wasimuweke amekula hasara gani? China,Urusi, na karibu nchi zote mbona wana wapokea hao macommandor wa IRGC na wanawaheshimu na wanafanya biashara nao kama kawaida.

Nipe we nchi ngapi zime waweka IRGC katika kundi la magiadi, nikusema akili mali unabisha. Ungekuwa unazo usingebisha.
 
Back
Top Bottom