nitonye JF-Expert Member Dec 18, 2011 7,273 3,750 Jan 22, 2012 #1 Wanajf naomba kuuliza hivi eti ni madhara gani anakumbana nayo mwanaume mwenye korodani moja na kama yapo madhara nini hasa tiba yake
Wanajf naomba kuuliza hivi eti ni madhara gani anakumbana nayo mwanaume mwenye korodani moja na kama yapo madhara nini hasa tiba yake
Oxlade-Chamberlain JF-Expert Member May 26, 2009 8,635 2,198 Jan 22, 2012 #3 Uzalishaji wa mbegu zitakuwa ndogo zaidi ya hapo hamna. Na kama. Tati ni kwamba hio korodani haijashuka inaweza kushushwa na madakari.
Uzalishaji wa mbegu zitakuwa ndogo zaidi ya hapo hamna. Na kama. Tati ni kwamba hio korodani haijashuka inaweza kushushwa na madakari.
Likwanda JF-Expert Member Jun 16, 2011 3,910 1,131 Jan 22, 2012 #4 jamii01 said: hata sijui korodani ndiyo nini.. Click to expand... Korodani=pumbu.
jamii01 JF-Expert Member Oct 1, 2010 1,974 1,401 Jan 22, 2012 #5 mbona siajawahi kuona..hipo?mbona sisi wanaume tunamatatizo sana?
nitonye JF-Expert Member Dec 18, 2011 7,273 3,750 Jan 22, 2012 Thread starter #6 Arsene Wenger said: Uzalishaji wa mbegu zitakuwa ndogo zaidi ya hapo hamna. Na kama. Tati ni kwamba hio korodani haijashuka inaweza kushushwa na madakari. Click to expand... Na je labda huwa inahitaji operation au?
Arsene Wenger said: Uzalishaji wa mbegu zitakuwa ndogo zaidi ya hapo hamna. Na kama. Tati ni kwamba hio korodani haijashuka inaweza kushushwa na madakari. Click to expand... Na je labda huwa inahitaji operation au?