Ni madhara gani anayapata mwanaume mwenye korodani moja

nitonye

JF-Expert Member
Dec 18, 2011
7,273
3,750
Wanajf naomba kuuliza hivi eti ni madhara gani anakumbana nayo mwanaume mwenye korodani moja na kama yapo madhara nini hasa tiba yake
 
Uzalishaji wa mbegu zitakuwa ndogo zaidi ya hapo hamna. Na kama. Tati ni kwamba hio korodani haijashuka inaweza kushushwa na madakari.
 
mbona siajawahi kuona..hipo?mbona sisi wanaume tunamatatizo sana?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom