Kuna hali ya sintofahamu kwa wakazi wa huku Mbagala. Milio inayoashiria mabomu inasikika watu tunataharuki.
wakati Wengine tunatafakari kukimbia kuna habari zinasema ni majambazi yamevamia banki. Wengne wanahisi mkutano wa dini uliokua eneo hilo ndo umeshambuliwa.
wakati Wengine tunatafakari kukimbia kuna habari zinasema ni majambazi yamevamia banki. Wengne wanahisi mkutano wa dini uliokua eneo hilo ndo umeshambuliwa.