Ukana Shilungo
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 3,041
- 2,422
habari wanajamvi,
Rais Magufuli kafanya ziara nyingi kanda ya ziwa lakini hajakanyaga Ukerewe mbali ya ajali ya MV Nyerere kwanini??
Mbeya hajawahi kutia mguu toka aingie madarakani kuna nini???
M kujua naomba anipe insights !
Rais Magufuli kafanya ziara nyingi kanda ya ziwa lakini hajakanyaga Ukerewe mbali ya ajali ya MV Nyerere kwanini??
Mbeya hajawahi kutia mguu toka aingie madarakani kuna nini???
M kujua naomba anipe insights !