kasulavenance
JF-Expert Member
- Jan 23, 2020
- 759
- 916
Na kama humfikishi unajidai kumtimizia mahitaji tu yake nyie ndio mnawafanya wake zenu wawe wanatuhonga huku mitaani ili mradi tu huwa unampa dozi tamu inayomfikisha mpaka sebuleni.Na hii ndio password kubwa ya mwanamke ukimkuna vizuri hapo hata kama anakula bamia au mnalala chini hatajaliMm ni mwanamke najua ninachokiongelea. Mwanamke anaekupenda anaweza kukuvumilia kutomfikisha kuliko kuvumilia kukosa matumizi mengine. Endelea kubisha na kujidanganya ati hitaji kuu la mwanamke ni kufikishwa.
Unless kuchepuka iwe ni tabia yake.