Bajeti ya kunguru
JF-Expert Member
- Sep 21, 2014
- 1,371
- 1,041
Wakuu habari zenu.
Moja kwa moja naenda kwenye mada. Kuna jamaa alihabarishwa na mkewe kwamba kuna mshikaji anamtokea,basi jamaa kwakuwa anamjua huyo mshkaji anauwezo mzuri kifedha akapanga njama ya kupata pesa akamwambia wife wake amkubalie kisha amjulishe wanaenda kukutana wapi ili mmewe akafunanie wapige hela.
Mambo yakaendelea mke kamjulisha mmewe kwamba wanaelekea guest house fulani.mwenye mke akaanza kujiandaa kwa fumanizi kachukua panga na kisu akaona ampitie na rafiki yake wa karibu waongozane hakuishia hapo akampitia na balozi wakaenda eneo la tukio.
Wanafika wanakutana mkewe ambaye hakujua kama mmewe ameongozana na watu wengine yule mke akamwambia mmewe akimshutumu kwamba 'sasa na wewe umechelewa wapi mpaka tumemaliza na jamaa ameshaenda' mme akawa niwakuchekwa mpaka sasa ila wanaishi pamoja.sasa sijui huwa wanatizamana vipi na mkewe.
Hili tukio nilakweli na hao watu nimeoneshwa kwa macho yangu.Nini mtazamo wako juu ya mke wa mshkaji kama wewe ndio mme ungeendelea kuishi na huyo mke.
Moja kwa moja naenda kwenye mada. Kuna jamaa alihabarishwa na mkewe kwamba kuna mshikaji anamtokea,basi jamaa kwakuwa anamjua huyo mshkaji anauwezo mzuri kifedha akapanga njama ya kupata pesa akamwambia wife wake amkubalie kisha amjulishe wanaenda kukutana wapi ili mmewe akafunanie wapige hela.
Mambo yakaendelea mke kamjulisha mmewe kwamba wanaelekea guest house fulani.mwenye mke akaanza kujiandaa kwa fumanizi kachukua panga na kisu akaona ampitie na rafiki yake wa karibu waongozane hakuishia hapo akampitia na balozi wakaenda eneo la tukio.
Wanafika wanakutana mkewe ambaye hakujua kama mmewe ameongozana na watu wengine yule mke akamwambia mmewe akimshutumu kwamba 'sasa na wewe umechelewa wapi mpaka tumemaliza na jamaa ameshaenda' mme akawa niwakuchekwa mpaka sasa ila wanaishi pamoja.sasa sijui huwa wanatizamana vipi na mkewe.
Hili tukio nilakweli na hao watu nimeoneshwa kwa macho yangu.Nini mtazamo wako juu ya mke wa mshkaji kama wewe ndio mme ungeendelea kuishi na huyo mke.