Ni kweli watumishi 28,000 walikuwa wakilipwa Shilingi Bilioni 526 kwa mwezi?

Hivi hiyo itakuwa ni mshahara tu au na malupupu yooote waliyokuwa wanayapata???

Tusisahau watumishi serikalini wana mishahara midogo ila waliishi kama WAFALME! Tafuta kamishna mmoja wa wizara kipindi kile mkwere yupo madarakani, muulize mshahara wake...haukuzidi 2.5million, ila malupulupu na makila kitu unakuta anauzunguka mshahara wake mara tatu mpaka nne.

Vivyo hivyo kwa wa ngazi za chini! Pengine jamaa amejumlisha mambo mengi anayopata mtu mmoja mmoja kwa mwezi....pengine, maana hata sijui!
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Tutapata Majibu sahihi tu, hata mimi Jana nilishtuka sana kusikia hizo data, wizara ya fedha itoe ufafanuzi kwenye hili swala.
 
Takwimu zake zote ni fake. Deni na mishahara ni 1.1 trillion.
Hela za mambo mengine zitatoka wapi? Nyimbo za TRA kukusanya 1.2 trillion zimeisha kitambo. Nchi ambayo chanzo Kikuu cha mapato imekuwa ni traffic offences ni hatari sana.
Sasa anamtesa ng'ombe lakini anataka ng'ombe huyo huyo atoe maziwa mengi.
Akili za mabibo hizo
 
Nimepata maswali magumu kufuatia kauli ya Rais kuwa..

"Tulipoingia tulikuwa tunalipa mishahara Bilioni 777 lakini tumepunguza mpaka mwezi uliopita tumelipa Bilioni 251. Na wakati huo huo tunalipa deni la Bilioni 950"

Maana yake ni kuwa mishahara imepungua kwa shilingi Bilioni 526.

Bila shaka punguzo hilo limetokana na kuondolewa kwa watumishi hewa zaidi ya 17,000 na wenye vyeti feki zaidi 9,000, ndio kusema Raisi anatuambia watumishi hao takriban 28,000 walikuwa wakilipwa hizo Bilioni 526 ambayo ni sawa na kila mtumishi alilipwa Shilingi 18,785,715/=!!

Takwimu hizi za Mheshimiwa Rais zinatisha!
Kama ni kwa mwaka mmoja ina make sense
 
sisi kina gogo la shamba tunasubiri wasomi watakavyoijadili hii hotuba ya rais kama kawaida yao tukiona kimya tutashangaa sana
 
Data za wasomi na watendaji wetu wanazompa Mh. Rais sio sahihi hata kidogo. Nashauri Rais apunguze kutaka sifa (Ndio kigezo cha kumlisha taarifa zisizo sahihi) na aanze kuangalia ukweli mbele yake .
Sio wanazompa. Sema anafanya makusudi kupotosha alafu anabunda.
 
Nimepata maswali magumu kufuatia kauli ya Rais kuwa..

"Tulipoingia tulikuwa tunalipa mishahara Bilioni 777 lakini tumepunguza mpaka mwezi uliopita tumelipa Bilioni 251. Na wakati huo huo tunalipa deni la Bilioni 950"

Maana yake ni kuwa mishahara imepungua kwa shilingi Bilioni 526.

Bila shaka punguzo hilo limetokana na kuondolewa kwa watumishi hewa zaidi ya 17,000 na wenye vyeti feki zaidi 9,000, ndio kusema Raisi anatuambia watumishi hao takriban 28,000 walikuwa wakilipwa hizo Bilioni 526 ambayo ni sawa na kila mtumishi alilipwa Shilingi 18,785,715/=!!

Takwimu hizi za Mheshimiwa Rais zinatisha!

%99 wenye kupinga ni wale wale waliofkuzwa wafanyakazi hewa,vyeti feki,wanafunzi hewa
Unashangaa hio??na hio tu ndio ulioi copy&paste,,!!!
Mbona hujai copy&paste wale wafanyakazi waliokua wakifanya vikao dubai???
Wakirejea nchini wanajiongezea mishahara hadi kufkia kila mmoja wao anapokea mil40 kwa mwezi,,!!!!!
Sema na hilo sasa
Na hao hao mh nagufuli aliwaita na kuwaambia kuanzia sasa mtapokea mil15 kwa mwezi
Kama hamuezi njia nyeupe kuna vijana wengi chuo kikuu waliosoma wanataka kazi
Wakawa wapole hadi leo wapo na wanafatiliwa uwajibikaji wao..
ANKO MAGUUUU!!!!!!PIGA KAZI
WANANCHI TUMEAMKA HATUTAKI SIASA WALA AHADI TUNATAKA UWAJIBIKAJI NA UZALENDO ILI TUISHINDE HII VITA VYA UCHUMI
 
Back
Top Bottom