Ni kweli wanaopgia simu waliositishiwa Ajira mahakama ni matapeli na sio kutoka mahakama ya Rufaa?

mtafiti05

JF-Expert Member
Oct 17, 2016
956
593
Hizi taarfa zmemshtua Dogo ambae ni mhanga aliepgiwa simu Mara 3 sasa, April 6, may 15 na may 31 2017, kuwa wanaopgia watu simu waliositishiwa ajira zao June 2016 mahakama kuwa ni watu wapo kazini?(matapeli) na sio simu za mahakama ya Rufaa? Wanauliza maswali yaleyale kutaka kujua Kama wapo tayr krd kazn,

Japo tar 15 may alipgiwa na mtu aliejtambulisha afsa utumishi akiuulza check no ya Dogo, akamwambia Hana check no walikua hawajapata kipnd wanasitishiwa, je hizi simu wengne mnaopgiwa mnazionaje? Kweli za mahakama rufaa? Awamu zote alizopgiwa ni no.tofauti, vodacom, tgo na simu ya mezani!

Tahadhali zichukuliwe hasa pale wanapohtaji vitu nyeti Kama check no. Muhimu mjilizishe kabla ya ktoa taarfa zenu kwa waajiri wenu kwa kuwapgia simu! Kama kuna mtu anauhakika na simu hizi ajuze wengne ila Kama utata basi umakini unatakiwa!
 
Hawa watu hawana kumbkmb Kama awali wamepgia simu watu, Dogo aliuliza kwa nn mnapga kuulza hvhv akaulzwa kwan umepgiwa lini tena? Akasema April 6 akajibiwa sasa niamini mm kua ujiandae kuriport kazn, je nani aaminiwe japo wote wajtambulisha wanatoka mahakama Rufaa?

Yawezekana watu wapo mzgoni, ngoja movie iendelee!
 
Mkipgiwa tena muwe mnahoji sio kuandaliwa tu hafu mnapotezewa Kama wakimbz, ikiwezekana mjiongeze na plan B, Dogo hatak kufanya kaz alokuwa anafanya eti anasubr kurdshwa serikalin mnaweza subr embe chn mnazi!
 
Back
Top Bottom