huwa nashuka kilabuni mitaa ya mabatini mbeya.....bila kusahau kamba za kufunga miguuni.....nagonga chimpumuu ya kutosha then narud geto na mama muuza....nampa mambo asubuh anarud kwake
Element, Triple 7 hapo thatha Napendelea kwenda kusalimu Namaqualand nipate zangu Namaqua sweet red wine au savanna. Mziki kila nyimbo naimba nakucheza mpaka kiingilio changu kiishe ha ha ha ha ha ha isibaki hata mia ya chenchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.